Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Bilashaka unahitaji Proffesional Business Plan inayoonesha mchanganuo wa mahitaji ya Bishara yako ili ufuatilie uwezeshi.Mimi mjasiliamali nazalisha bidhaa za viwandani
Ni PM inbox tuongee
Bilashaka unahitaji Proffesional Business Plan inayoonesha mchanganuo wa mahitaji ya Bishara yako ili ufuatilie uwezeshi.Mimi mjasiliamali nazalisha bidhaa za viwandani
Naaam lakin sifatilii uwezeshaji Mimi nataka kwa ajili yakukuza biashara yangu tuBilashaka unahitaji Proffesional Business Plan inayoonesha mchanganuo wa mahitaji ya Bishara yako ili ufuatilie uwezeshi.
Ni PM inbox tuongee
Sawa nitakufanyia bei poaNaaam lakin sifatilii uwezeshaji Mimi nataka kwa ajili yakukuza biashara yangu tu
Ujaelewa ulichoandika, kuna aina mbili za Business PlanUsiedit business plan ili uombee mkopo pekee
Andaa business plan itakayokuwa muongozo sahihi wa biashara yako na kukupa matokeo mazuri ya biashara yako ili uweze kuishi na kurejesha mkopo utakaoomba
Ujaelewa ulichoandika, kuna aina mbili za Business Plan
1)Proffessional BS
2)Peraonal BS
Lakini umesoma na kuelewa nilichoandika mimi vizuri ukaelewa.Business Ya kuombea mkopo halmashauri sio ya kuiandikaandika tuu, mkopo unatakiwa upatikane, urejeshwe na biashara ikue...... mpango biashara wenye mafanikio hauhitaji format pekee, vipo vingi vya kuangalia kitaalamu na kiuzoefu pia kuepukqna na mikopo ambayo hailipiki na biashara hazikui
Muongozo ndio utaniwezesha kufanya hayo yoteUsiedit business plan ili uombee mkopo pekee
Andaa business plan itakayokuwa muongozo sahihi wa biashara yako na kukupa matokeo mazuri ya biashara yako ili uweze kuishi na kurejesha mkopo utakaoomba
Ahsante mkuu, umeelezea vizuri sana, hiki ndio ninachokihitajiUjaelewa ulichoandika, kuna aina mbili za Business Plan
1)Proffessional BS
2)Peraonal BS
1)Proffessional BS:
ndio anayohitaji jamaa hii ina format na mlolongo wake maalum wa kuiandika inamaana katika huo mlolongo unaweka Details kulingana na Biashara yako sifa zake na michalato ila in Proffessional Format.
Hii unaandika kwa kutumia Format maalum unaweka details za Biashara yako tu kama mfano unaweza omba Formart za Assigment, Portifolio, Barua nk.
Hii inatumika kushawishi muwekezaji au kupata mkopo, si muhimu kuandika hii endapo huitaji uwezeshi wowote.
2)Peraonal BS:
Hii ndio unayoizungumzia ni mchakato na mahesabu unayoyapiga mwenyewe Biashara yako... hakuna mfanyabiashara ambae hana hii BS either kwa kuiandika au kichwani kwake. Inamaana hii tiali anayo na ndio muhimu zaidi kwa Biashara yake ila hawezi ipeleka Bank ataonekana chizi.
So, usichangane hivyo vitu viwili, anayohitaji mtoa mada ni Proffessional BS ambayo haikuwa na umuhimu kwake alivyokuwa haitaji msaada.
Sawa mkuunitumie email hermanmarry2010@gmail.com nitakutumia.
Nami nakucheki unitumie mkuunitumie email hermanmarry2010@gmail.com nitakutumia.
NimekutumiaSawa mkuu