K Kubingwa JF-Expert Member Apr 23, 2010 505 69 Oct 16, 2011 #1 Wanajamvi nisaidieni,hivi wanafunzi wanaosoma science pale chuo cha wanyamapori-Mweka wanapewa mkopo asilimia ngapi na Tsh.ngapiI?
Wanajamvi nisaidieni,hivi wanafunzi wanaosoma science pale chuo cha wanyamapori-Mweka wanapewa mkopo asilimia ngapi na Tsh.ngapiI?
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,602 5,809 Oct 16, 2011 #3 Huwa mkopo hawatoi kutokana na vyuo. Wanatumia formular moja kwa vyuo vyote Tanzania.