Naomba wana JF mnisaidie katika hili kwani sielewi baada ya kupigiwa simu na jamaa yangu akiniambiwa kuwa ametumiwa ujumbe kupitia yahoo, akiambiwa kuwa nimeibiwa mali zangu wakati nikitoka safari yangu nje ya nchi wakati mimi mwenyewe sijasafiri nikamjibu hivyo.
Baada ya hapo nikaamua kufungua mtandao nione email ikakataa na nimejaribu njia za ku-recover password zote zimekataa. nisaidieni jamani.
Baada ya hapo nikaamua kufungua mtandao nione email ikakataa na nimejaribu njia za ku-recover password zote zimekataa. nisaidieni jamani.