Asingeweza kupewa mkataba juu ya mkataba (maana alikua nao tayari, Happ angepewa Addendum na hiyo promotion). Akafuge samaki tu hamna namnaKuna utata..mwajiri alijua mapema atakachofanya badaye ndiyo maana hakukupa mkataba na inaonekana ndiyo njia yake anayotumia sana kukandamiza upande mmoja.
Hapo angalia ustaarabu wako wala usibishane na mtu mana yatakuja mengine halafu pia kuna kesho pia kwa kampuni hiyohiyo.
Mpaka ameamua kutafuta ushauri humu, hiyo hela anayopigia mahesabu ndy Akili imemjia aifanye kua mtaji wakati Boss nae anawaza namna ya kumfyekaAkafuge samaki tu hamna namna
COVID impacts.I bet hawa ni wahindi. Right?
aisee, pole sananikiwemo na mimi.
We endelea kulalama humu badala ya kutafuta fursa za kupata pesa. Halafu Kuna mtu anadai Kuna kitu inaitwa **unlawful retrenchment**? Seriously?? Plz tumia trade unions Kama zipo. Vinginevyo kwenye negotiations muwe wapole kuomba mwajiri awape mishahara angalau miwili au mitatu na awaachie kadi za bima za afya angalau kwa mwaka mmoja (mkijidai vidume mtakosa yote)Hapana wenye kampuni ni makaburu (wazungu wa south afrika) ila MD ni muingereza na HR ni MUHAYA
Utajutia hili mzee hayo mambo ya CMA lazima upate mtu mwenye uelewa nayo ili awabane kwenye sheria.Asante kwa ushauri wako mkuu,
Ila kuhusu kwenda na mwanasheria tumeruhusiwa kufanya hivyo, ila kwa wakati nilionao kwakweli sitaweza kumpa pesa za gharama atakazohitaji ili niweze kwenda nae
Hata kama siyo mwanasheria anaweza kuwa mtu mwenye uelewa wa mambo na mafao ya wafanyakazi wanaopunguzwa kazi (kupunguza operational costs na siyo kukosa sifa za kufanya kazi). Au unaweza kwenda kwa mwanasheria akupe ushauri maeneo ya kuuliza maswali au namna nzuri ya ku'negotiate' mafao (if there are any). Yaani, kwa kifupi nenda ukijua unachotakiwa kujua na kupata, otherwise baada ya kuwa 'laid off' ndipo utakapojua na kuanza kujisikia vibaya kwa nini hukutafuta ushauri kwanza. Hopefully, ulikuwa na permanent contract na kama hivyo ndiyo, then premature termination of contract must comply with labour laws.Asante kwa ushauri wako mkuu,
Ila kuhusu kwenda na mwanasheria tumeruhusiwa kufanya hivyo, ila kwa wakati nilionao kwakweli sitaweza kumpa pesa za gharama atakazohitaji ili niweze kwenda nae