Habarini za mchana wakuu,
Kama nilivyoandika hapo juu naitaji msaada wa kisheria kuhusu hili bus. Nina ndugu yangu ni mgonjwa kuna dawa huwa anatumia inamsaidia, hii dawa sehemu nilipo kuipata ni mtihani kidogo hivyo mara nyingi naiagiza Dar sababu kule nina mwenyeji na huwa ananitumia nilipo.
Tatizo mzigo umepelekwa Shekilango tarehe 9/4/2020 kwa maana unaondoka Dar tarehe 10/4/2020 halafu mimi napokea tarehe 11/4/2020, lakini toka bus litoke huko halijafika mpaka leo na ukienda ofisini kwao hawana majibu ya kueleweka zaidi wanasema bus limeharibikia Singida, huku hali ya mgonjwa inazidi kuchange na dawa imekwama kwenye bus lao imebidi leo niagize tena kwa usafiri mwingine.
Mpaka sasa hawana majibu ya kueleweka nafikiria hata kuwapeleka mahakamani kama nitapata muongozo mzuri wa kisheria ili iwe fundisho kwao na kwa wengine wenye tabia kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyoandika hapo juu naitaji msaada wa kisheria kuhusu hili bus. Nina ndugu yangu ni mgonjwa kuna dawa huwa anatumia inamsaidia, hii dawa sehemu nilipo kuipata ni mtihani kidogo hivyo mara nyingi naiagiza Dar sababu kule nina mwenyeji na huwa ananitumia nilipo.
Tatizo mzigo umepelekwa Shekilango tarehe 9/4/2020 kwa maana unaondoka Dar tarehe 10/4/2020 halafu mimi napokea tarehe 11/4/2020, lakini toka bus litoke huko halijafika mpaka leo na ukienda ofisini kwao hawana majibu ya kueleweka zaidi wanasema bus limeharibikia Singida, huku hali ya mgonjwa inazidi kuchange na dawa imekwama kwenye bus lao imebidi leo niagize tena kwa usafiri mwingine.
Mpaka sasa hawana majibu ya kueleweka nafikiria hata kuwapeleka mahakamani kama nitapata muongozo mzuri wa kisheria ili iwe fundisho kwao na kwa wengine wenye tabia kama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app