Jumjum kapo
Member
- Oct 17, 2022
- 32
- 86
Kama Title inavosema
Nimekua Katika familia ya mzee mwenye uwezo kidogo lakini alifanikiwa kufungua kampuni kubwa iliyofanya ujenzi wa kazi mbali mbali miradi mikubwa.
Lakini nimemaliza chuo sasa nataka kuendeleza Ile kampuni lakini sijui nianzie wapi maana imekua domant kwa muda mrefu sana naombeni msaada au ushauri nifanyeje kama inawezekana?
Nimekua Katika familia ya mzee mwenye uwezo kidogo lakini alifanikiwa kufungua kampuni kubwa iliyofanya ujenzi wa kazi mbali mbali miradi mikubwa.
Lakini nimemaliza chuo sasa nataka kuendeleza Ile kampuni lakini sijui nianzie wapi maana imekua domant kwa muda mrefu sana naombeni msaada au ushauri nifanyeje kama inawezekana?