sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 368
- 2,513
Wadau naomba mnisaidie kama kuna mtu anafahamu au ana taarifa ya taasisi, mtu, watu au kampuni yyote inayofadhili au kusaidia miradi ya kielimu.
Nina project ya elimu inayotumia technology kuwafikia wanafunzi ni technology ya kipekee sana. Nachokwama ni mtaji wa kutengeneza content na kuifikisha kwa watu.
Please nisaidie kama una taarifa yoyote inayoweza kunisaidia.
Nina project ya elimu inayotumia technology kuwafikia wanafunzi ni technology ya kipekee sana. Nachokwama ni mtaji wa kutengeneza content na kuifikisha kwa watu.
Please nisaidie kama una taarifa yoyote inayoweza kunisaidia.