Naomba msaada namna ya kuandika barua ya kuomba internship

Kwani siku hizi darasa la 5 hawafundishi tena namna ya kuandika barua za kirafiki na za kiofisi?

Anyway, tafuta karatasi na kalamu, meza, mahali pa kugandamizia, anza kuandika jina lako, unakoishi, tarehe,

Andika kichwa cha habari, kisha maelezo yako, weka kwenye bahasha ipeleke unakotaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom