Moody Rutunga Jr.
Senior Member
- Sep 25, 2013
- 110
- 16
Habari wana jukwaa naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu especially upande wa hardware, nipo bagamoyo naomba msaada labda mtu mwenye idea nianzie wapi? Au kama kuna fundi pia wa simu upande wa hardware tunaweza kuongea zaidi.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.