Naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu

Moody Rutunga Jr.

Senior Member
Sep 25, 2013
110
16
Habari wana jukwaa naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu especially upande wa hardware, nipo bagamoyo naomba msaada labda mtu mwenye idea nianzie wapi? Au kama kuna fundi pia wa simu upande wa hardware tunaweza kuongea zaidi.
Naomba kuwasilisha.
 
una idea hata kidogo. binafsi mimi sikujifunza kwa fundi yeyote mimi nilikua nina idea kidogo nikafungua ofisi nikaanza kazi ikija kazi ngumu natumia youtube. Na sasa sio haba kwa kiasi flani nimeiva
 
Kama unapesa ni 150.000 veta kwa iyo hardware na software
Habari wana jukwaa naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu especially upande wa hardware, nipo bagamoyo naomba msaada labda mtu mwenye idea nianzie wapi? Au kama kuna fundi pia wa simu upande wa hardware tunaweza kuongea zaidi.
Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom