Aijohn
New Member
- May 14, 2021
- 2
- 1
Wataalam habari za Muda huu?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu Sasa bila kupata hata dalili yoyote ya mimba maana hata period yenyewe haieleweki unakuta mwezi huu kaingia tarehe hii mwezi ujao tarehe nyingine tena au inatokea inapita Ata miezi mi3 bila period na ukipima kwenye kipimo cha mimba kinaonyesha Hana mimba. Nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana P. I. D pamoja na uvimbe kwenye mayai wenye ukubwa (2.2cm x 2.7cm). Tukapewa dawa za kutumia mwezi m1 ili aingie period kwanza maana alikuwa na miezi kama miwili hajapata hedhi, tunamshukuru Mungu mwezi uliofuata alipata hedhi yake tukarudi tena hospital tukamweleza Dr matokeo tuliyoyapata baada ya wife kunywa dawa. Dr akampa tena wife dawa (folic acid BP 5 MG) za kutumia kwa miezi mi3 wife akanywa akamaliza. Lakini tangu amemaliza kunywa dawa izo Sasa ni miezi mi5 lakini bado hajabeba ujauzito na pia siku zake bado ni changamoto maana tarehe zinabadilikabadilika Sana.
Tatizo hilo linaweza kweli kuisha na wife akapata ujauzito??? Au atumie dawa gani
Naombeni Msaada na elimu mujarabu.
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu Sasa bila kupata hata dalili yoyote ya mimba maana hata period yenyewe haieleweki unakuta mwezi huu kaingia tarehe hii mwezi ujao tarehe nyingine tena au inatokea inapita Ata miezi mi3 bila period na ukipima kwenye kipimo cha mimba kinaonyesha Hana mimba. Nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana P. I. D pamoja na uvimbe kwenye mayai wenye ukubwa (2.2cm x 2.7cm). Tukapewa dawa za kutumia mwezi m1 ili aingie period kwanza maana alikuwa na miezi kama miwili hajapata hedhi, tunamshukuru Mungu mwezi uliofuata alipata hedhi yake tukarudi tena hospital tukamweleza Dr matokeo tuliyoyapata baada ya wife kunywa dawa. Dr akampa tena wife dawa (folic acid BP 5 MG) za kutumia kwa miezi mi3 wife akanywa akamaliza. Lakini tangu amemaliza kunywa dawa izo Sasa ni miezi mi5 lakini bado hajabeba ujauzito na pia siku zake bado ni changamoto maana tarehe zinabadilikabadilika Sana.
Tatizo hilo linaweza kweli kuisha na wife akapata ujauzito??? Au atumie dawa gani
Naombeni Msaada na elimu mujarabu.