Naomba msaada,mke wangu amekuwa na tatizo la mimba kuaribika

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Jamani naomba msaada,wife wangu amekuwa na tatizo la mimba kuaribika, zisha aribika mimba mbili, sasa ana ujauzito mwingine wa miezi mitano, juzi ghafla kaaza kuona period japo damu sio nyingi sana, ikabidi aende hosptal.

Ambapo alifanyiwa vipimo vya ultra sound ikaonekana mimba haina tatizo sana. swali langu ninalo itaji msaada kuna uwezekano wa mama kuona hedhi hata kidogo kipindi cha ujauzito na mimba ikawa salama? na kuna sindano kaandikiwa zinaitwa MULUT INTRAMUSCULAR DEPORT [250MG]

Nataka kujua hizi sindano zina saidia nini na ningapi anatakiwa kuchomwa?maana moja nimeambiwa 30000 na anatakiwa kuchomwa kila wiki? note mimi siko huko ni tarifa tu napewa.
Asanteni
 
Jamani naomba msaada,wife wangu amekuwa na tatizo la mimba kuaribika, zisha aribika mimba mbili, sasa ana ujauzito mwingine wa miezi mitano, juzi ghafla kaaza kuona period japo damu sio nyingi sana, ikabidi aende hosptal. ambapo alifanyiwa vipimo vya ultra sound ikaonekana mimba haina tatizo sana. swali langu ninalo itaji msaada kuna uwezekano wa mama kuona hedhi hata kidogo kipindi cha ujauzito na mimba ikawa salama? na kuna sindano kaandikiwa zinaitwa MULUT INTRAMUSCULAR DEPORT [250MG] nataka kujua hizi sindano zina saidia nini na ningapi anatakiwa kuchomwa?maana moja nimeambiwa 30000 na anatakiwa kuchomwa kila wiki? note mimi siko huko ni tarifa tu napewa.
asanteni
Kaka hizo sindano ndio nazisikia asije kua wife wako anataka kukufanya mashine ya kutolea fedha kila week hiyo cndano gani ongea na doctor
 
Inapaswa uongee na dokta husika umuhoji kuhusiana na sindano alizoandika

Ndio inawezekana mwanamke akabeba mimba na akableed nabado akajifungua salama

Muhim kua karibu na hospital na ambacho huelewi kuliko kujiamulia tu n bora uconfrim na dokta kwanza
 
Inapaswa uongee na dokta husika umuhoji kuhusiana na sindano alizoandika

Ndio inawezekana mwanamke akabeba mimba na akableed nabado akajifungua salama

Muhim kua karibu na hospital na ambacho huelewi kuliko kujiamulia tu n bora uconfrim na dokta kwanza
asante sana
 
hiyo sindano nina mashaka nayo, ungejaribu wewe mwenyewe kwenda kwa siku chache kufuatilia hali ya mkeo au kutafuta ndugu wa karibu kumsaidia mkeo
wazo nzuri ntalifanyia kazi
 
hiyo sindano nina mashaka nayo, ungejaribu wewe mwenyewe kwenda kwa siku chache kufuatilia hali ya mkeo au kutafuta ndugu wa karibu kumsaidia mkeo
Mtu mwenye tatizo hilo mi najua kama rh factor zipo tofauti huwa wanachoma sindano na gharama yake huwa ni laki 4 kama sijakosea
 
mpe pole !ahakikishe anapumzika kwa muda mrefu !asifanya kazi za mikiki mikiki !kuinama ,kulima,kuchota maji !
 
Mtu mwenye tatizo hilo mi najua kama rh factor zipo tofauti huwa wanachoma sindano na gharama yake huwa ni laki 4 kama sijakosea
upo sahihi ila kwa hawa nahisi hawajui tatizo la mimba kutoka hasa hasa huyu baba aliye mbali hadi apewe taarifa na mkewe, ni bora akawe nae karibu wajue jinsi ya kui save mimba hii
 
upo sahihi ila kwa hawa nahisi hawajui tatizo la mimba kutoka hasa hasa huyu baba aliye mbali hadi apewe taarifa na mkewe, ni bora akawe nae karibu wajue jinsi ya kui save mimba hii
Teh wanaume wengi hawafatilii mambo ya uzazi wanajua ni ya kina mama tu....
 
Jamani naomba msaada,wife wangu amekuwa na tatizo la mimba kuaribika, zisha aribika mimba mbili, sasa ana ujauzito mwingine wa miezi mitano, juzi ghafla kaaza kuona period japo damu sio nyingi sana, ikabidi aende hosptal.

Ambapo alifanyiwa vipimo vya ultra sound ikaonekana mimba haina tatizo sana. swali langu ninalo itaji msaada kuna uwezekano wa mama kuona hedhi hata kidogo kipindi cha ujauzito na mimba ikawa salama? na kuna sindano kaandikiwa zinaitwa MULUT INTRAMUSCULAR DEPORT [250MG]

Nataka kujua hizi sindano zina saidia nini na ningapi anatakiwa kuchomwa?maana moja nimeambiwa 30000 na anatakiwa kuchomwa kila wiki? note mimi siko huko ni tarifa tu napewa.
Asanteni
Ondoa shaka Juu ya matone ya damu yanayotoka uken hiyo kitaalamu inaitwa "Implantation bleeding" yaan mtoto anajishikisha vzr kwenye placenta japo Mara nying implantation bleeding hutokea mimba ikiwa na siku 10 had 16 sasa yawezekana hiyo hali inatokea kwa sababu tu za kibiologia Kama hospt ameandikiwa hizo sindano bas atumie lakin kama una mashaka unaweza enda famarcy yoyote kubwa ukaulize uhalali wa hizo sindano au tafta dkr mzuri uulize Wish u all the best mtoto ni mzima atapona tu coz miez mitano ni mingi
 
Wewe jitahidi uwe karibu na mke wako inawezekana anaua mwenyewe asipate ujauzito na kama hataki mimba hapo ndio shida zaidi wanawake siku hizi wanatamani wawe wanaume na sio wanawake vinguo vya kubana mpaka ujauzito mitoko hasira viburi fujo badala ya kutulia anapopata mimba mshauri anapo conceive apumzike
 
Wewe jitahidi uwe karibu na mke wako inawezekana anaua mwenyewe asipate ujauzito na kama hataki mimba hapo ndio shida zaidi wanawake siku hizi wanatamani wawe wanaume na sio wanawake vinguo vya kubana mpaka ujauzito mitoko hasira viburi fujo badala ya kutulia anapopata mimba mshauri anapo conceive apumzike


hivi aue mwenyewe mimba ?hiv mbn mnapenda kuhukumu namna hyo jaman !dah !
 
asanteni kwa ushauri mzuri naahidi ntaufanyia kazi....
 
Mtu mwenye tatizo hilo mi najua kama rh factor zipo tofauti huwa wanachoma sindano na gharama yake huwa ni laki 4 kama sijakosea
laki 4 sindano moja au dozi mpaka ajifungue...RH factor ni magonjwa gani na yanatokana na nini?
 
Back
Top Bottom