Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,917
- 23,239
Wakuu nawasalimuni sana, naomba msaada kwa hili ndugu.
Nimeshazunguka hii dar mpaka nimechoka kila duka halina hii dawa.
Ni ya kumsaidia mama mjamzito kujifungua kwa maelekezo ya daktari ameshaitiliza siku za kujifungua kwa hio hio dawa itakuwa ni ngumu sana kujifungua. naombeni sana wa kuu.
Nimeshazunguka hii dar mpaka nimechoka kila duka halina hii dawa.
Ni ya kumsaidia mama mjamzito kujifungua kwa maelekezo ya daktari ameshaitiliza siku za kujifungua kwa hio hio dawa itakuwa ni ngumu sana kujifungua. naombeni sana wa kuu.