Naomba Msaada/maelezo

MkamaP

JF-Expert Member
Jan 27, 2007
8,142
3,217
Heshima kwenu wakuu!!!!
Naomba msaada kwa watu wenye uelewa na maada hii-
Hivi mtu akitaka kuandika mtihani wa CISCO ni lazima asome shule zao ama unaweza enda tu kuripia pesa na uka andika huo mtihani???
Na je hua wana mda maalaumu wa kuandika huo mtihani ama mtu anapojisikia yupo freshi anauomba kuundika?? Na kama una mda maalumu mi miezi ipi??
nitashukuru kwa msaada wenu aksante.
 
Back
Top Bottom