Naomba msaada kwenu wanawake wa humu jamvini

kweli alienda washroom alivyorudi ndy ikawa balaa maana mwanzoni nilipomaliza akaniambia mume wangu hili unalokojoa hapa kama sio la tatu basi la nneniliogopa sana maana kweli jioni hiyo nilitoka kumpa mtu goli mbili nzito aisee sitarudia maana wife japokuwa mtu mzima Ila aliumia sana mpaka leo niko safarini analalamika tu kuwa huku niko huru .....
Nashindwa Ku moment. Kuna ka harufu ya ukakasi
 
kweli alienda washroom alivyorudi ndy ikawa balaa maana mwanzoni nilipomaliza akaniambia mume wangu hili unalokojoa hapa kama sio la tatu basi la nneniliogopa sana maana kweli jioni hiyo nilitoka kumpa mtu goli mbili nzito aisee sitarudia maana wife japokuwa mtu mzima Ila aliumia sana mpaka leo niko safarini analalamika tu kuwa huku niko huru .....
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka upo mwishoni mwa 50's naelekea 60's halafu unapenda vimodo? Duh ! Mkuu hebu tulia tu umkaze mkeo vizuri maana tayari keshafunga kizazi.
 
Wakati wa kukojoa huwa wanasikilizia mikupuo yaani wakati wa kumwaga ukimwaga mkupuo mmoja hiyo ni lawama
Kawaida mikupuo inaanzia mitatu kwenda mbele maana huwa wanasikia zinavyomwagika na kugogonga kuta za kizazi
 
Nikuambie Siri kadhaa....
Sisi wanawake tuna macho.
Macho MAWILI. Usishangae. Ni Kweli kabisa.

Miaka 26 tu atajuaje tofauti kati ya kojo la kwanza na zingine?
Macho na kumbukumbu nzuri.
Mungu alivotuumba alitupendelea sana.
 
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka upo mwishoni mwa 50's naelekea 60's halafu unapenda vimodo? Duh ! Mkuu hebu tulia tu umkaze mkeo vizuri maana tayari keshafunga kizazi.
Kumkaza namkaza hasa sio masihara hata yeye anaujua mziki wangu nikiamua kumkaza namkaza mpaka anashukuru kuolewa na mimi
 
Wakati wa kukojoa huwa wanasikilizia mikupuo yaani wakati wa kumwaga ukimwaga mkupuo mmoja hiyo ni lawama
Kawaida mikupuo inaanzia mitatu kwenda mbele maana huwa wanasikia zinavyomwagika na kugogonga kuta za kizazi
Samahani mkuu wangu wewe ni ke au me??
 
Nikuambie Siri kadhaa....
Sisi wanawake tuna macho.
Macho MAWILI. Usishangae. Ni Kweli kabisa.

Miaka 26 tu atajuaje tofauti kati ya kojo la kwanza na zingine?
Macho na kumbukumbu nzuri.
Mungu alivotuumba alitupendelea sana.
Umeweka bracket sana sister hebu funguka kidogo I need your elaboration kidogo
 
Back
Top Bottom