zed B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 956
- 1,029
Amani iwe juu yenu. Wakuu Hali yangu si nzuri nataka kujua hizi dalili za ugonjwa gani ?
1) kichwa kuuma maeneo ya utosi
2) kupoteza hamu ya kula
3) kupata kichefuchefu Cha kutaka kutapika
4) maumivu ya viungo vya mwili hasa kiunoni kuja mabegani
5) choo kigumu Kama Cha mbuzi pingili pingili tu zinadondokeana
6) Maumivu ya tumbo
7) Mwili kuchemka.
1) kichwa kuuma maeneo ya utosi
2) kupoteza hamu ya kula
3) kupata kichefuchefu Cha kutaka kutapika
4) maumivu ya viungo vya mwili hasa kiunoni kuja mabegani
5) choo kigumu Kama Cha mbuzi pingili pingili tu zinadondokeana
6) Maumivu ya tumbo
7) Mwili kuchemka.