huyo ndugu yako huez kunfukuza......mfundishe ajue jinsi ya kuutumia mwili wake kwa faida hata kwa kutafuta ndoa..............jaribu kumsaidia akili tu ajue thamani yake anaonekana huyo hata hajui kama dunia ni sayari....Dah we acha tu ndo hivyo alivyoo yaani akileta mwingine now ni kufukuxwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
AnamapepoAcheni kumzushia mtoto wa watu.
Maendeleo hayana chama
Wewe umemuona nayo?Anamapepo
Basi kama hutaki kufanya hivyo endelea kufuga maradhiYaan mkuu kitendo cha kumuonyesha mzee tu hizi video ni anafukuzwa mazima ila namuonea huruma, ndugu ndo sisi tuliobaki sasa ataenda wapi?? Alishasemwa sana na mpaka analudi tena kwa mala ya pili alikili kubadilika lakin analudia hayo hayo tena sasa hivi analala nje kabisa ya nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujambo?Dada yako "mtoto wa mama Mdogo" alafu mbele ya story Dada huyo huyo anafiwa na mama yake ambaye ni "aunt" yako.
Hebu kawadanganye watoto wenzio Facebook huko.
Safii, umepoteaSijambo!!
Za miaka mingi.
Heri ya Mwaka Mpya!!
Hahahaaha yupi huyo wewe nikumbusheEric K hahaha haya mdogo wangu.bibi hajambo lakini?? Me napita tu aisee kuna chai umeziweka hapo nimekukaushia tu.hivi ni W au S anayesumbua ?? Polee sana mdogo wangu.wewe ndio kidume hapo home fanya maamuzi magumu. Mpe hi bibi K. jirani yako wa zamani kwa mama mlokole
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuhuyo ndugu yako huez kunfukuza......mfundishe ajue jinsi ya kuutumia mwili wake kwa faida hata kwa kutafuta ndoa..............jaribu kumsaidia akili tu ajue thamani yake anaonekana huyo hata hajui kama dunia ni sayari....
Mkuu ujaelewa huyo ni dada yangu toka kwa mama mdogo sasa Kama unakijua kingereza fasaha cha mama mdogo niambie tu ila mimi najua awe mama mkubwa au mdogo anaitwa Aunt.. afu pia huyu mama yake alifariki ambaye kwangu ni Aunt ( mom mdogo)Dada yako "mtoto wa mama Mdogo" alafu mbele ya story Dada huyo huyo anafiwa na mama yake ambaye ni "aunt" yako.
Hebu kawadanganye watoto wenzio Facebook huko.
Aiseee kumbe kusoma alama za nyakati muhinuYeah afu sasa wanavyotoka wanafungua geti taratibu sana afu wanaludisha taratibu ata akiwa anafunguliwa yaan ni taratibu mtu mwingine kusikia sio rahisi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app