89N Member Jun 20, 2017 25 11 Nov 22, 2020 #1 Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
Blessed Keinerugaba JF-Expert Member Nov 16, 2011 4,711 4,641 Nov 22, 2020 #2 Recategorisation iko katika jurisdiction ya mwajiri kutegemeana uwepo wa bajeti husika!
boda JF-Expert Member Apr 4, 2014 341 289 Nov 22, 2020 #3 Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda!
Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda!
89N Member Jun 20, 2017 25 11 Nov 23, 2020 Thread starter #5 Masiya said: Mwone HRO wako kwa maelezo zaidi. Click to expand... Thanks
89N Member Jun 20, 2017 25 11 Nov 23, 2020 Thread starter #6 boda said: Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda! Click to expand... Niko mwl sec, naenda maendeleo ya jamiii, Ila nmeelekezwa kutuma barua tamisemi,
boda said: Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda! Click to expand... Niko mwl sec, naenda maendeleo ya jamiii, Ila nmeelekezwa kutuma barua tamisemi,