Naomba msaada kujua kuhusu Chuo cha Songea Teachers College

Apr 8, 2019
17
3
Nimepata nafasi Chuo cha Songea Teachers College kusoma Stashahada ya Ualimu Kemia na Biologia.

Hivyo naombeni msaada kwa anayeelewa hiki Chuo au vyuo vingine vyenye kufanana na hicho hususani suala la jinsi ya kupata GPA nzuri hapo Chuoni asanteni.

Pia hiki Chuo kipo vizuri?
 
Kuna jamaa yangu anasoma hapo n nimewahi kufika mara 4 kipo safi tu japo si sana kimazingira ni mwendo wa nusu saa hivi kutoka songea mjini kwa mguu...na dk 5 kwa pikipiki.Ukiwa unatoka Dar kwenda songea pita njia ya Lindi ndo utashuka kituo ambacho kilipo chuo ukipita Iringa itakulazimu utafute usafiri wa kukifikia.....

Mwisho kila la kheli mwalimu mtarajiwa
 
Kuna jamaa yangu anasoma hapo n nimewahi kufika mara 4 kipo safi tu japo si sana kimazingira ni mwendo wa nusu saa hivi kutoka songea mjini kwa mguu...na dk 5 kwa pikipiki.Ukiwa unatoka Dar kwenda songea pita njia ya Lindi ndo utashuka kituo ambacho kilipo chuo ukipita Iringa itakulazimu utafute usafiri wa kukifikia.....

Mwisho kila la kheli mwalimu mtarajiwa
 
Philipo Dawson suala la GPA ni kusoma kwako tu hicho chuo kinawalimu wote unaowataka ,chuo kipo katikati ya makazi ya watu ,sisi wenyeji tunasema kipo MATOGORO ukiwa dar ukipanda mabasi yanayopita mkoa wa Lindi ,ukikaribia Songea wakushushe chuo cha Ualimu,lakini ukiwa dar ukapanda mabasi yanayopita mkoa wa Iringa utafika mpaka songea mjini baada ya hapo utapanda daladala zilizoandikwa matogoro
 
Philipo Dawson suala la GPA ni kusoma kwako tu hicho chuo kinawalimu wote unaowataka ,chuo kipo katikati ya makazi ya watu ,sisi wenyeji tunasema kipo MATOGORO ukiwa dar ukipanda mabasi yanayopita mkoa wa Lindi ,ukikaribia Songea wakushushe chuo cha Ualimu,lakini ukiwa dar ukapanda mabasi yanayopita mkoa wa Iringa utafika mpaka songea mjini baada ya hapo utapanda daladala zilizoandikwa matogoro
Seedfarm bhana ndo jina la stend sio chuo Cha ualimu
 
Philipo Dawson suala la GPA ni kusoma kwako tu hicho chuo kinawalimu wote unaowataka ,chuo kipo katikati ya makazi ya watu ,sisi wenyeji tunasema kipo MATOGORO ukiwa dar ukipanda mabasi yanayopita mkoa wa Lindi ,ukikaribia Songea wakushushe chuo cha Ualimu,lakini ukiwa dar ukapanda mabasi yanayopita mkoa wa Iringa utafika mpaka songea mjini baada ya hapo utapanda daladala zilizoandikwa matogoro
Mkuu kwa nn mnasahau kuwa atapita na mkoa wa Mtwara ingawa hatofika mkoani.Au na nyie huwa Kama waandishi wale wanaosema mvua itanyesha mkoa wa Songea/mwingine anaonyesha Songea anatamka Sumbawanga.Walimu wa Jiografia wana kazi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom