Naja naja
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 747
- 1,452
Naombeni msaada mafundi simu mnisaidie nijifunze na mimi ufundi hata nikienda chuo nisikose mia mbili mia tatu za ufundi.
Kwa sasa nipo tu nyumbani sina kazi, sina kibarua chochote licha ya kuhangaika sana.
Kuna sehemu nilienda kuomba kujifunza na wapo well organized waliniambia gharama ni shilingi laki mbili na nusu kwa course nzima ambayo itachukua miezi miwili mpaka miwili na nusu.
Changamoto ni kwamba sina hicho kiasi , kwa hiyo suluhisho pekee nimeona nijaribu kwa mafundi simu wa huku wanipe msaada wakubali kunifundisha ufundi simu ili niweze kujiajiri huko mbeleni.
Kwa sasa nipo tu nyumbani sina kazi, sina kibarua chochote licha ya kuhangaika sana.
Kuna sehemu nilienda kuomba kujifunza na wapo well organized waliniambia gharama ni shilingi laki mbili na nusu kwa course nzima ambayo itachukua miezi miwili mpaka miwili na nusu.
Changamoto ni kwamba sina hicho kiasi , kwa hiyo suluhisho pekee nimeona nijaribu kwa mafundi simu wa huku wanipe msaada wakubali kunifundisha ufundi simu ili niweze kujiajiri huko mbeleni.