Shinikizo la juu la damu (High blood Pressure) Fahamu chanzo, kinga na tiba ya tatizo hili

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
1594479125012.png
Shinikizo la juu la damu mwilini ni ninni?
Namna ambavyo damu yako hupiga kwenye ukuta wa mishipa ya mwili wako huitwa shinikizo. Kwa kawaida shinikizo la damu la mtu hupanda na kushuka siku nzima. Kwa wengine hubakia juu kila wakati. Hawa ndio watu walio na shinikizo la juu la damu mwilini au Hypertension.

Hali hii huweza kuathiri na kuharibu moyo wako, macho na figo. Huzidisha nafasi yako ya kushikwa na ugonjwa wa pigo (Stroke) au hata kushikwa na ugonjwa wa moyo.

Hivyo basi dalili zake ni nini?
Ugonjwa huu hujulikana kama muuaji mnyamavu kwa maana, mtu hukaa nao kwa miaka bila kujua. Njia ya pekee ya kujua iwapo una ugonjwa huu, ni kwenda kupimwa shinikizo lako la damu.

Nitazuiaje ugonjwa huu au hata kuutibu?

Jambo la kushangaza ni kuwa, hatua za kuchukua katika kuzuia shinikizo la juu la damu mwilini ni sawa na za kuutibu ugonjwa huu. Jambo muhimu sana ni kuhakikisha kuwa, unapimwa shinikizo lako angalau mara moja kwa mwaka na mhudumu wa kiafya aliyehitimu. Ni muhimu kwa sababu, kipigo cha damu cha mtu kwa kawaida huendelea kupanda maishani mwake. Njia nyingine ni pamoja na;

  • Kufanya mazoezi ya mwili ya mara kwa mara
  • Uepukane kabisa na kuvuta sigara na kulewa
  • Ule lishe bora lisilo na chumvi
  • Punguza uzani iwapo wewe ni mkubwa
===================
Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira unaoweza kujazwa hewa. Ukanda huo hufungwa kwenye sehemu ya juu ya mkono na kuunganishwa na kifaa cha kurekodi shinikizo. Kifaa hicho hurekodi vipimo viwili. Kwa mfano, chaweza kurekodi kipimo cha 120/80. Nambari ya kwanza huonyesha kipimo cha shinikizo la damu wakati moyo unapopiga (systole). Nambari ya pili huonyesha kipimo cha shinikizo la damu katikati ya mapigo ya moyo (diastole). Shinikizo la damu hupimwa kulingana na milimeta za zebaki. Madaktari husema kwamba shinikizo la damu ya mgonjwa limepanda wakati kipimo kinapozidi 140/90.

Nini hupandisha shinikizo la damu? Hebu wazia unamwagilia shamba lako maji. Unapofungua mfereji au unapopunguza ukubwa wa shimo la mfereji, unaongeza shinikizo la maji. Ndivyo ilivyo pia na shinikizo la damu. Shinikizo la damu hupanda wakati damu nyingi inapopita mshipani au wakati mshipa unapokuwa mwembamba. Mtu hupataje ugonjwa huo? Mambo mengi yanahusika.

Mambo Usiyoweza Kuepuka

Watafiti wamegundua kwamba iwapo mtu ana watu wa familia wenye tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu, basi anakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo. Takwimu zinaonyesha kwamba mapacha wanaofanana hupata ugonjwa huo zaidi ya mapacha wasiofanana. Uchunguzi mmoja ulizungumza juu ya “kuchunguza habari zinazopatikana katika chembe za urithi ambazo husababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu.” Hiyo inathibitisha kwamba kuna chembe za urithi zinazosababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Inasemekana kwamba uwezekano wa kupata tatizo hilo huongezeka mtu anapozidi kuzeeka, na kwamba wanaume weusi wanakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo.

Mambo Unayoweza Kuepuka

Tilia maanani lishe bora! Shinikizo la damu ya watu fulani linaweza kupanda wanapokula chumvi (sodiamu). Hiyo inahusu hasa wagonjwa wa kisukari, watu ambao shinikizo la damu yao hupanda sana, wazee, na watu fulani weusi. Mafuta mengi katika damu yanaweza kufanyiza utando wa kolesteroli kwenye kuta za ndani za mishipa. Hivyo, mishipa huwa myembamba na shinikizo la damu huongezeka. Watu ambao ni wazito kupita kiasi kwa asilimia 30 wanaweza kupata tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Uchunguzi mbalimbali unaonyesha kwamba kula vyakula vingi vyenye potasiamu na kalisi kwaweza kupunguza shinikizo la damu.

Uvutaji wa sigara unaweza kusababisha utando mgumu wa mafuta kwenye kuta za mishipa, ugonjwa wa kisukari, mshtuko wa moyo, na kiharusi. Kwa hiyo, mvutaji wa sigara aliye na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu anaweza kupata magonjwa ya moyo. Ijapokuwa uthibitisho unapingana, mfadhaiko na kafeini—inayopatikana katika kahawa, chai, na vinywaji vya kola—yaweza kusababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Kwa kuongezea, wanasayansi wanajua kwamba kunywa kileo mara nyingi na kupita kiasi na kutofanya mazoezi kwaweza kuongeza shinikizo la damu.

Kutunza Afya

Si jambo la busara kungoja hadi upate tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu ndipo uanze kuchukua hatua zinazofaa. Mtu anapaswa kutunza afya toka anapokuwa kijana. Kutunza afya sasa kutafanya maisha yako yawe mazuri wakati ujao.

Mwafikiano wa Tatu wa Brazili Kuhusu Kupanda kwa Shinikizo la Damu ulionyesha mabadiliko fulani maishani ambayo yanaweza kupunguza tatizo hilo. Madokezo hayo yatawasaidia watu wasio na ugonjwa huo na wale wanaougua ugonjwa huo.

Watafiti walipendekeza kwamba watu walionenepa kupita kiasi wanapaswa kula lishe kamili isiyo na kalori nyingi, kufanya mazoezi ya kiasi kwa ukawaida, na kuepuka mbinu za kupunguza uzito haraka. Walipendekeza kwamba watu watumie gramu sita tu za chumvi au kijiko kidogo tu cha chumvi kila siku.* Hiyo inamaanisha kutumia kiasi kidogo tu cha chumvi wakati wa kutayarisha mlo, na pia kutokula sana vyakula vinavyouzwa makoponi, nyama baridi zilizopikwa (salami, hemu, soseji, na kadhalika), na vyakula vilivyokaushwa kwa moshi. Mtu anaweza kupunguza matumizi yake ya chumvi kwa kuepuka kuongeza chumvi anapokula na kwa kuchunguza vibandiko vilivyowekwa kwenye makopo ya vyakula vilivyotengenezwa viwandani ili kuona kiasi cha chumvi ambacho kimetumiwa.

Vilevile, Mwafikiano wa Brazili ulidokeza kula vyakula vingi vyenye potasiamu kwa kuwa vinaweza “kuzuia kupanda kwa shinikizo la damu.” Kwa hiyo, lishe bora yapaswa kuhusisha “vyakula vilivyo na chumvi kidogo na potasiamu nyingi,” kama vile maharagwe, mboga za kijani iliyokoza, ndizi, matikiti, karoti, viazi-sukari, nyanya, na machungwa. Ni muhimu pia kutokunywa kileo kupita kiasi. Watafiti fulani wanasema kwamba wanaume walio na ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 30 za kileo kila siku; wanawake na vilevile watu ambao si wazito sana hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 15 za kileo.*

Mwafikiano wa Brazili ulikata shauri kwamba kufanya mazoezi ya mwili kwa ukawaida hupunguza shinikizo la damu na hupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu. Kuna faida kufanya mazoezi kwa kiasi kama vile, kutembea, kuendesha baiskeli, na kuogelea, kwa siku tatu hadi tano kila juma kwa muda wa dakika 30 hadi 45.* Mambo mengine yanayochangia afya bora yanatia ndani kuacha kuvuta sigara, kudhibiti ugonjwa wa kisukari na kiasi cha mafuta katika damu (kolesteroli na triglyceride), kula vyakula vyenye kalisi na magnesi ya kutosha, na kuepuka uchovu na kufadhaika kupita kiasi. Dawa fulani zaweza kuongeza shinikizo la damu, kama vile dawa za kuzibua pua, dawa za kutuliza kiungulia zilizo na sodiamu nyingi, dawa za kudhibiti hamu ya kula, na dawa za kumaliza maumivu ya kichwa na kichefuchefu zilizo na kafeini.

Kwa wazi, iwapo shinikizo la damu yako hupanda, daktari wako anaweza kukushauri kuhusu lishe na mazoea yako kulingana na mahitaji yako binafsi. Hata hivyo, kutunza afya tangu ujanani ni jambo lenye manufaa kwa watu walio na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu na kwa washiriki wote wa familia. Marian, aliyetajwa mwanzoni mwa makala hii, alilazimika kufanya mabadiliko maishani mwake. Ijapokuwa yeye ni mgonjwa, sasa anatumia dawa na anafurahia maisha. Vipi wewe? Endelea kudhibiti shinikizo la damu yako huku ukisubiri wakati ambapo watu wote watakuwa na afya bora na “hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa.”—Isaya 33:24.

Iwapo una ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu, ugonjwa wa moyo, wa ini, au wa figo na unatumia dawa, muulize daktari wako kuhusu kiasi cha chumvi na potasiamu ambacho unahitaji kila siku.

Kileo cha mililita 30 kinalingana na mililita 60 za vinywaji kama wiski, vodka, na kadhalika, mililita 240 za divai, au mililita 720 za pombe.

Zungumza na daktari wako kuhusu mpango wa kufanya mazoezi.

Kupambana na ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu

1. Mambo Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Kupanda kwa Shinikizo la Damu
• Punguza uzito wa mwili
• Punguza kiasi cha chumvi unachotumia
• Kula vyakula vingi vyenye potasiamu
• Usinywe sana vileo
• Fanya mazoezi kwa ukawaida

2. Mambo Mengine Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Shinikizo la Damu
• Tumia vidonge vyenye kalisi na magnesi
• Kula vyakula vyenye makapi mengi tu
• Dhibiti mfadhaiko

3. Madokezo ya Ziada
• Acha kuvuta sigara
• Dhibiti kiwango cha kolesteroli mwilini
• Dhibiti ugonjwa wa kisukari
• Usitumie dawa zinazoweza kuongeza shinikizo la damu
Kufanya mazoezi kwa ukawaida na kula lishe bora huzuia na kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu

===================

Shinikizo la juu la damu

Shinikizo la juu la damu
(HTN) au presha ya juu ya damu (pia huitwa shinikizo la mishipa ya damu, HBP), ni ugonjwa sugu ambapo nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ni kubwa kuliko kawaida. Ongezeko hilo husababisha moyo kufanya kazi kupita kiasi ili uzungushe damu katika mishipa ya damu. Kwa kawaida halina dalili, ila likidumu lina madhara makubwa kwa afya.

Shinikizo la juu la damu ndilo sababu kubwa (kihatarishi) ya upoozaji, mshtuko wa moyo (mashambulizi ya moyo), moyo kushindwa kufanya kazi, kutuna kwa ukuta wa mishipa (k.m., kutuna kwa ukuta wa aota au mkole), chujio la mshipa wa kupeleka damu kwenye moyo au peripheral arterial disease, na inasababishwa na ugonjwa sugu wa figo. Hata ongezeko la wastani la shinikizo la damu hupunguza matarajio ya muda wa kuishi.

Kuna vipimo viwili vya shinikizo la damu, yaani systolic na diastolic: shinikizo au presha ya systolic ni kipimo cha damu ambacho kinapima nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ya damu wakati moyo unadunda. Shinikizo au presha ya diastole inapima nguvu ya msukumo wa damu katika mishipa ya damu wakati moyo umetulia au kati ya mapigo ya moyo (diastole).

Kipimo cha kawaida cha shinikizo la damu ni 100–140 milimita za zebaki (mmHg) upande wa systolic (kipimo cha juu) na 60–90 milimita za zebaki upande wa diastolic (kipimo cha chini). Shinikizo la juu la damu hutokea kama kipimo kikiwa zaidi ya 140/90 mmHg kwa muda mrefu.

Kuna aina mbili za shinikizo la juu la damu: shinikizo la juu la damu la asili na shinikizo la damu linalosababishwa na magonjwa mengine. Kadiri ya asilimia 90–95 za watu wanaathiriwa na "shinikizo la juu la damu la asili", yaani wana ugonjwa huu bila kuwa na chanzo cha kisayansi kinachofahamika. Magonjwa mengine ya mafigo, mishipa, moyo, mfumo wa homoni huathiri asilimia 5–10 iliyobaki ya watu wenye shinikizo la damu (ndilo shinikizo la damu linalosababishwa na magonjwa mengine).

Ili kudhibiti shinikizo la damu, lishe bora na mabadiliko katika mtindo wa kuishi lazima yazingatiwe pamoja na kupunguza matatizo yanayoathiri afya. Hata hivyo, matumizi ya dawa ni muhimu kwa watu ambao mabadiliko ya mtindo wa maisha hautoshelezi kupunguza shinikizo la juu la damu, kutuna kwa ukuta wa ateri mithili ya puto kutokana na udhaifu wa sehemu hiyo.

Uainishaji wa shinikizo la damu

mmHgkPammHgkPa
Classification (JNC7)Systolic pressureDiastolic pressure
Kawaida90–11912–15.960–798.0–10.5
Dalili ya shinikizo la juu la damu120–13916.0–18.580–8910.7–11.9
Aina ya 1 shinikizo la juu la damu - kali140–15918.7–21.290–9912.0–13.2
Aina ya 2 shinikizo la juu la damu - kali kiasi≥160≥21.3≥100≥13.3
Isolated systolic
shinikizo la juu la damu - kali sana
≥140≥18.7<90<12.0


Watu wazima

Kwa watu wenye umri wa miaka 18 au zaidi, shinikizo la juu la damu linaweza kuwa systolic na/au diastolic kama kipimo hicho ni zaidi kuliko kipimo cha kawaida kinachokubalika ambacho ni (139 mmHg systolic, 89 mmHg diastolic: tazama table — Uainishaji (JNC7)).

Kama vipimo vinapatikana baada ya kutumia chombo kinachopima presha kwa masaa 24 (24-hour ambulatory) au kufanya maangalizi nyumbani, vipimo vya chini vinatumiwa (135 mmHg systolic or 85 mmHg diastolic).

Pia miongozo ya kimataifa ya hivi karibuni imegawanya shinikizo la damu katika vikundi mbali mbali vyenye vipimo chini ya kipimo cha shinikizo la juu la damu ili kuthibitisha hatari iliyopo ya shinikizo la juu la damu. JNC7 (2003) anatumia neno dalili ya kuwa na shinikizo la juu la kwa presha ya damu iliyo kati ya 120 na 139 mmHg systolic na/au 80–89 mmHg diastolic, wakati Miongozo ya ESH-ESC (2007) and BHS IV (2004) inatenganisha katika vikundi vya hali inayofaa, vya kawaida, na vya kawaida kiasi kutofautisha presha zilizopo chini ya 140 mmHg systolic na 90 mmHg diastolic.

Shinikizo la juu la damu pia imegawanywa katika vikundi vifuatavyo: JNC7 inatofautisha shinikizo la juu la damu aina ya I, shinikizo la juu la damu aina ya II, na shinikizo la juu la damu hatua kali sana. Shinikizo la juu la damu ambayo ni kali sana (Isolated systolic hypertension) ni presha ya juu sana inayoambatana na presha ya kawaida ya diastolic, hali hii huwatokea sana wazee.

The ESH-ESC Guidelines (2007) and BHS IV (2004), inatambua aina ya tatu (aina ya III) ya shinikizo la juu la damu kwa watu ambao wana presha ya juu ya systolic inayozidi 179 mmHg au presha ya diastolic inayozidi 109 mmHg. Shinikizo la juu la damu liko katika kundi la "sugu" kama madawa hayapunguzi shinikizo la damu hadi vipimo vya kawaida.

Watoto wadogo na wachanga
Si kawaida kwa watoto waliozaliwa karibuni kuwa na shinikizo la juu la damu na ni asilimia 0.2 hadi 3% ya watoto wachanga ambao wanapata. Shinikizo la damu haipimwi mara kwa mara kama watoto ni wadogo na wana afya nzuri.

Shinikizo la damu huwapata watoto ambao wako katika hatari kua. Kbwuna masuala tofauti ya kuangalia, kama vile kipindi cha ujazito, umri baada ya utungaji mimba, na uzito wakati wa kuzaliwa kabla ya kuamua kama kipimo cha shinikizo la damu ni cha kawaida kwa mtoto mchanga.

Watoto na vijana
Ni kawaida kwa watoto na vijana kupata shinikizo la damu (asilimia 2–9% hutegemea na umri, jinsia, na asili)[6] and is associated with long-term risks of ill-health. Hivi sasa kuna pendekezo la kuwapima damu watoto wenye zaidi ya miaka mitatu na kuangalia kama wana shinikizo la juu la damu kila wanapoenda kupimwa afya yao.

Kabla ya kuthibitisha kama mtoto ana shinikizo la juu la damu mtoto lazima apimwe mara kadhaa Shinikizo la damu huongezeka utotoni kufuatana na umri , wa watoto, shinikizo la damu linatambulika kama ni systolic ya kawaida au diastolic baada ya kupimwa zaidi ya mara tatu au zaidi ya asilimia 95 ambayo ni kawaida kufuatana na jinsia, umri na urefu wa mtoto. Dalili ya shinikizo la juu la damu (Prehypertension) kwa watoto linatambulika kama shinikizo au presha ya kawaida ya systolic au shinikizo au presha ya diastolic kama ni zaidi au sawa na asilimia 90, lakini ni chini ya asilimia 95 Kwa vijana, inapendekezwa kwamba shinikizo la juu la damu na dalili ya shinikizo la juu la damu zichunguzwe na kuainisha kwa kutumia vigezo vya watu wazima.

Ishara na dalili
Mara nyingi watu wenye shinikizo la damu hawana dalili yoyote, na huwa inagundulika baada ya kufanya uchunguzi kwa kawaida kupitia screening, au wakati maangalizi ya afya yanafanywa kwa sababu nyingine. Watu wengine wenye shinikizo la damu huwa wanapata maumivu ya kichwa (haswa nyuma ya kichwa na asubuhi), pamoja na kuchanganyikiwa, kizunguzungu, sikio kelele (mvumo au mazomeo masikioni), kutoweza kuona vizuri au matukio ya kuzirai.

Baada ya uchunguzi wa mwili, kunakuwa na wasiwasi wa shinikizo la juu la damu kama kuna upanuzi wa mishipa ya damu ya retina baada ya kufanya uchunguzi wa optic fundus iliyopo nyuma ya jicho kwa kutumia chombo cha kufanyia uchunguzi yaani ophthalmoscopy. Classically, ukali wa mabadiliko ya shinikizo la damu ya retina linagawanya kwenye vikundi kuanzia I hadi IV, ingawa inaweza kuwa vigumu kuzitofautisha aina kali kiasi. Chombo cha kufanyia uchunguzi wa macho kinaweza kuonyesha muda ambao mtu amekuwa na shinikizo la juu la damu=Fisher2005/>

Shinikizo la juu la damu litokanalo na magonjwa mengine

Dalili zingine zinaweza kusababishwa na magonjwa mengine, yani shinikizo la damu linaloletwa na sababu zingine zinazojulikana kama vile magonjwa ya figo au mabadiliko ya mfumo wa homoni.

Kwa mfano, unene wa kifua na tumbo, uthibiti mbaya wa sukari, moon facies au mkusanyiko wa mafuta usoni, mkusanyiko wa mafuta mgongoni ("buffalo hump") na purple striae au alama za unene huonyesha dalili ya ugonjwa wa homoni wa Cushing's syndrome. Ugonjwa unaoathiri kikoromeo na acromegaly yaani mwili hutengeneza homoni ya kukuza umbo pia huweza kuleta shinikizo la juu la damu na dalili zake za kawaida huonekana. Wembamba wa mishipa ya tumbo au abdominal bruit inaweza kuwa ni ishara ya renal artery stenosis au kuziba kwa mishipa ya damu ipelekayo damu kwenye figo.

Shinikizo la chini la damu katika miguu au mapigo ya mshipa wa mguu yanayochelewa au ukosefu wa mapigo mapigo ya mshipa wa mguu inaweza kuwa ni dalili ya aortic coarctation (kupungua kwa upana wa mshipa mkuu utoao damu kwenye moyo kwenda mwilini). Shinikizo la damu ambalo linalotofautiana sana na kuumwa kwa kichwa, mpapatiko wa moyo, kubadilika rangi ya ngozi, na utoaji jasho ni lazima kuwe na wasiwasi wa pheochromocytoma yaani saratani ya tezi iliyo juu ya figo.

Hali ya hatari ya shinikizo la juu la damu

Shinikizo la damu lililo juu kupita kiasi (sawa au zaidi ya 180 au diastolic ya 110, wakati mwingine huitwa shinikizo la damu linaloweza kuleta kifo au linaloharakisha kifo) inatambulika kama "hali ya hatari ya shinikizo la juu la damu." Shinikizo la damu vinavyozidi vipimo hivi vinaonyesha hali kubwa ya hatari ya ugonjwa huu.

Watu wenye viwango hivi vya shinikizo la damu wanaweza wasiwe na dalili zozote, ila wanaweza kulalamika kuumwa kwa kichwa (asilimia 22% ya wagonjwa) na kuwa na kizunguzungu kuliko watu wa kawaida.

Dalili zingine za hali ya hatari ya shinikizo la damu ni kutoona vizuri au kutopumua vizuri kwa sababu moyo haufanyi kazi vizuri au kutojisikia vizuri uchovu kwa sababu mafigo yanashindwa kufanya kazi.[

Watu wengi wenye hali ya hatari ya shinikizo la damu wanatambulika kuwa na msukumo mkubwa wa damu, lakini vichocheo vingine vinaweza kuongezea msukumo.

"Shinikizo la damu la ghafla", zamani ilikuwa inajulikana kama "shinikizo la damu inayodhuru", hutokea ikiwa kuna ithibati ya madhara yanayotokea katika ogani za mwili kwa sababu ya shinikizo la juu la damu. Madhara haya yanaweza kuwa hypertensive encephalopathy au shinikizo kichwani, inasababishwa na uvimbe wa ubongo na kutofanya kazi vizuri, na husababisha kichwa kuumwa na kupoteza fahamu (kuchanganyikiwa au kusinzia).

Retinal papilloedema and fundal kuvuja damu kutokana na mpasuko wa mishipa midogo ya macho na kutoa usaha au maji ni dalili nyingine ya madhara ya ogani. Maumivu ya kifua yanaweza kuwa ni dalili ya uharibifu wa misuli ya moyo (ambayo baadaye yanaleta upungufu wa damu kati ya misuli ya moyo) au wakati mwingine ukuta wa ndani wa aorta huchanika na damu, kuchanika kwa ukuta wa mshipa mkuu uitwao aota/mkole. Kukosa pumzi, kukohoa, na kukohoa makohozi yenye damu ni dalili ya pulmonary edema au mapafu kujaa maji. Hali hii inaleta uvimbe wa seli za mapafu unaosababishwa na udhaifu wa upande wa kushoto wa moyo, na uwezo mdogo wa upande wa kushoto wa moyo kusukuma damu kutoka kwenye mapafu hadi mishipa ya damu.

Figo kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi upesi (figo kushindwa kufanya kazi kwa ghafla) na microangiopathic hemolytic anemia au upungufu wa damu (uharibifu wa seli za damu) unaweza kutokea Katika hali hizi, shinikizo la chini la damu ni muhimu ili kupunguza madhara ya ogani.

Kwa upande mwingine, hakuna ushahidi unaonyesha kuwa shinikizo la damu linatakiwa kupunguzwa kwa kasi wakati wa matatizo ya dharura ya shinikizo la juu la damu iwapo kuna ogani iliyoathirika. Upunguzaji wa ghafla wa shinikizo la damu unaweza kuwa ni hatari. Matumizi ya dawa ya kushusha shinikizo la damu hatua kwa hatua zaidi ya masaa 24 hadi 48 yanapendekezwa wakati wa dharura inayotokana na shinikizo la juu la damu.

Ujauzito

Shinikizo juu la damu hutokea takriban 8-10% za ujauzito. Wanawake karibu wote wenye shinikizo juu la damu wakiwa na mimba walikwishaumwa na shinikizio la damu la kawaida. Hali hiyo ikitokea katika ujaa uzito ni dalili ya kwanza ya kifafa cha mimba kabla hakijashikika kabisa. Maradhi hayo hutokea katika muda wa pili wa ujaa uzito na majuma machache baada ya kujifungua.

Uaguzi wa maradhi hayo ni pamoja na shinikizo la damu kuongezeka na dalili za protini ndani ya mkojo. Maradhi hayo hutokea takribin 5% ya ujaa uzito yakisababisha takribin 16% ya vifo vya wenye ujaa uzito.

Hatari ya kifo cha mtoto inaongezeka maradufu kutokana na maradhi hayo dunia nzima. Kwa kawaida hakuna dalili maalum za kifafa cha mimba kabla hakijashikika kabisa hugunduliwa na uchujaji wa kawaida.

Zinapotokea dalili za maradhi hayo hizo ndizo ni kuumwa kichwani, taabu za kuona vizuri (mwanga wa kumulika ghafla) kutapika, maumivu ya epigastriumu na kuvimba. Kifafa cha mimba kabla hakijashikika kabisa wakati mwingine inaweza kuletea hali inayotisha maisha inayoitwa kifafa cha mimba. Kifafa cha mimba kinaleta hali ya dharura ya shinikizo la damu inayotatiza sana.

Matatizo hayo ni pamoja na upofu, kuvimba kwa ubongo, utendaji wa kiklonasi ulio katika hali ya kukazika au kuvutika na kutia kifafa, kuharibika kwa mafigo, edema ya mapafu, disseminated intravascular coagulation (kutoganda vizuri kwa damu). Shinikizo juu ya damu ikiathiri uja uzito: Dawa Ukunga na Elimu ya uzazi:

Watoto wadogo na wachanga

Kushindwa kustawi, kutiliwa kifafa, usumbufu, uchovu/kukosa nguvu, hali inayorudiarudia ya kudhikisha kwa mapofu kushindwa kuhema vizuri Shinikizo Juu la Damu: can be associated with hypertension in neonates and young infants. Kuhusu watoto wachanga ambao wameshahitimu umri zaidi pamoja na wana, shinikizo la juu la damu linaweza kuumiza kichwa, usumbufu usioelezeka, uchovu (uchovu wa kiganga), kushindwa kustawi, macho kutiliwa kiwi, kutokwa na damu puani, hatimaye kiharusi uso kupoozwa baadaye.

Kuzidi kwa ukali wa shinikizo la juu la damu

Shinikizo la juu la damu linachangia vifo vya watoto wachanga kuliko athari nyingine, nalo linaweza kupatiwa kinga. It increases the risk of ischemic heart disease strokes, peripheral vascular disease, and other cardiovascular diseases, including heart failure, aortic aneurysms, diffuse atherosclerosis, and pulmonary embolism. Hypertension is also a risk factor for cognitive impairment, dementia, and chronic kidney disease. Other complications include:
  • Hypertensive retinopathy
  • Hypertensive nephropathy
Sababu za Shinikizo la juu la damu la msingi
Shinikizo la juu la damu la msingi ni aina inayojulikana zaidi, ikiwa chanzo cha 90-95% za waathirika wa shinikizo la juu la damu Takriban katika jamii zote za kisasa shinikizo la damu linapanda juu katika nyakati za kuzeeka.

Shinikizo la juu la damu linatokana katika ushirikiano wa viini-urithi na athari za mazingira. Viini-urithi vingi vya kawaida vikiwa na athari ndogo juu ya shinikizo la damu vimeshatambulika na vilevile vingine vya nadra lakini vyenye athari kubwa katika hilo lakini shinikizo juu la damu linalotokana na viini-athari halijaeleweka vizuri hadi leo hii.

Chumvi kidogo tu, matunda na vyakula visivyo na mafuta mengi (Dietary Approaches to Stop Hypertension (DASH diet)), mazoezi, weight loss na kutokunywa vileo sana ni misaada dhidi ya presha kupanda.

Jinsi uchovu, kahawa, na upungufu wa vitamini D vinavyochangia presha ya juu haieleweki vizuri. Kinzano dhidi ya insulin inafikiriwa pia kupandisha presha. Utafiti wa hivi karibuni umedhulumu matukio ya maisha ya watoto wachanga kwa mfano, uzito mdogo wa mtoto mchanga, tabia ya uvutaji sigara ya akina mama, na kutowanyonyesha watoto kama athari za hatari zinazoumiza watu wazima na shinikizo la damu la kimsingi. Hata hivyo, mahusiano hayo yanabaki fumbo.

Shinikizo la juu la damu la hatua ya pili

Shinikizo la juu la damu la hatua ya pili linatokana na chanzo kinachojulikana. Maradhi ya mafigo ni chanzo kinachozidi cha shinikizo la juu la damu hatua ya pili. Chanzo kingine cha shinikizo la juu la damu ni hali tofauti za tezi zenye kunyesa ndani kwa ndani kama kwa mfano Cushing's syndrome, hyperthyroidism, hypothyroidism, acromegaly, Conn's syndrome or hyperaldosteronism, hyperparathyroidism, and pheochromocytoma.

Vyanzo vingine vya shinikizo la juu la damu hatua ya pili ni pamoja na [unene], [kushindwa kupumua kunakoleta usingizi wa mang’amung’amu], [kuwa na mimba], [kufinyika kwa aota], ulaji zaidi wa [urukususu] na dawa fulani zilizo halali zikiwa na zile zote zisizo halali pamoja na dawa za kienyeji.

Pathophysiology

350px-Arterial_pressure_diagram.png


Watu karibu wote wakiumia shinikizo la juu la damu la kimsingi linalowekwa imara, kinzi inayoongezeka kwa utiririko wa damu (kinzi kabisa ukingoni) inasababisha shinikizo la hali ya juu wakati utiririko wa damu kutoka moyoni unaendelea kama kawaida. Uthibitisho upo kubainisha vijana wengine wanaoumia shinikizo la juu la damu ambalo halijashikana kabisa wana utiririko wa damu kutoka moyoni wa kiwango cha juu, pigo linalozidi kawaida la moyo na kinzi ya kawaida ukingoni (hyperkinetic borderline hypertension).

These individuals develop typical features of established essential hypertension in later life as their cardiac output falls and peripheral resistance rises with age. Whether this pattern is typical of all people who ultimately develop hypertension is disputed.

Increased peripheral resistance in established hypertension is mainly attributable to structural narrowing of small arteries and arterioles. Reduction in number or density of capillaries may also contribute to peripheral resistance.

Shinikizo juu la damu pia linahusika na ukosefu wa ujikunjaji wa mishipa iliyoko ukingoni, which may increase return of blood to the heart, increase cardiac preload, and ultimately cause diastolic dysfunction. Ikiwa kuongezeka kwa finyo linaloendelea la mishipa ya damu huchangia shinikizo la juu la damu la kimsingi linalowekwa imara hakujathibitishwa.

Pulse pressure (difference between systolic and diastolic blood pressure) is frequently increased in older people with hypertension. This situation can involve systolic pressure that is abnormally high, but diastolic pressure may be normal or low.

This condition is called isolated systolic hypertension. High pulse pressure in elderly people with hypertension or isolated systolic hypertension is explained by increased arterial stiffness, which typically accompanies aging and may be exacerbated by high blood pressure. Many mechanisms have been proposed to account for rise in resistance seen within arterial system in hypertension. Most evidence implicates one or both of these causes:
  • Disturbances in renal salt and water handling, particularly abnormalities of intrarenal renin-angiotensin system
  • Abnormalities of sympathetic nervous system
These mechanisms are not mutually exclusive and it is likely that both contribute to some extent in most cases of essential hypertension. Limedokezwa kuwa kutofanya vizuri kwa kuta za ndani za mishipa ya damu pamoja na inflamesheni ya mishipa huenda inachangia kinzi inayoongezeka ukingoni pamoja na kuharibika kwa mishipa.

Utambuzi

Mfano vipimo kutumbukiza katika shinikizo la damu
MfumoMajaribio
mfumo mkojo ya figoUrinalysis Microscopic urinalysis, proteinuria, serum bun blood urea nitrogen BUN (damu urea nitrojeni) na /au creatinine
Endokrini mfumo EndokriniSerum sodiamu, potasiamu, calcium, TSH (thyroid-stimulating hormone) .
Umetabolikufunga damu glucose, cholesterol jumla, HDL na LDL cholesterol, triglycerides
WengineHematocrit, electrocardiogram, na radiograph kifua
Vyanzo: Harrison's ya kanuni ya dawa za ndani

Shinikizo la damu ni kupatikana wakati mgonjwa ana vinavyoendelea shinikizo la damu. Kijadi, utambuzi unahitaji vipimo vitatu vya sphygmomanometer tofauti kwa vipindi vya mwezi mmoja. Ya awali ya ukaguzi ya wagonjwa la damu ni pamoja na historia na uchunguzi wa kimwili history na physical examination.

Pamoja na Upatikanaji wa saa 24 ambulatory wachunguzi wa shinikizo la damu mashine ya damu nyumbani shinikizo, muhimu wa kuepuka utambuzi sahihi ya wagonjwa na shinikizo la damu kanzu nyeupe imesababisha mabadiliko katika itifaki.

Katika Uingereza, sasa ni bora kufuatilia moja alimfufua kliniki ya kusoma na kipimo ambulatory. Kufuatilia pia inaweza kufanyika, lakini chini ya walau, na nyumbani ufuatiliaji shinikizo la damu katika kipindi cha siku saba.

Mara baada ya uchunguzi wa shinikizo la damu yamepatikana, madaktari kujaribu kubaini sababu ya msingi juu ya hatari na dalili nyingine, kama sasa. shinikizo la damu sekondari ni ya kawaida zaidi kwa watoto karibisha kijani na kesi nyingi husababiswa na ugonjwa wa figo renal disease.

Msingi au shinikizo la damu ni muhimu zaidi ya kawaida katika Vijana na ina hatari nyingi, ikiwa ni pamoja na hatima na historia ya familia ya shinikizo la damu. Vipimo vya maabara pia kuwa walifanya kubainisha sababu ya uwezekano wa shinikizo la damu ya sekondari, na kuamua kama shinikizo la damu unaosababisha uharibifu wa moyo, macho, na mafigo. Vipimo vya ziada kama ajali ya ugonjwa wakisukari na Viwango vya juu vya cholesterol ni kutumbukiza kwa sababu hizi ni hali ya hatari kwa ajili ya maendeleo ya ugonjwa wa moyo na kuhitaji matibabu.

Creatinine Serum ni kipimo cha kupima kwa uwepo wa ugonjwa wa figo, ambao unaweza kuwa ama sababu au matokeo ya shinikizo la damu. Serum creatinine peke inaweza kuza thamani kiwango ya glomerular filtration.

Miongozo ya hivi karibuni kutetea matumizi ya mamlinganyo uingizaji kama vile Muundo wa mpangilio wa chakula katika formula figo Magonjwa (MDRD) na makisio ya kiwango cha glomerular filtration (eGFR). [55] eGFR pia yanaweza kutoa kipimo msingi ya kazi ya figo ambayo yanaweza kutumika kwa ajili ya kufuatilia madhara ya dawa kadhaa antihypertensive juu ya kazi ya figo.

Upimaji wa sampuli za mkojo kwa ajili ya protini kutumika kama kiashiria cha sekondari ya ugonjwa wa figo. Electrocardiogram (EKG/ECG) ni kufanyika kwa kuangalia kwa ushahidi kwamba moyo upo katika matatizo kutokana na shinikizo la damu.

Inaweza pia kuonyesha kugandamana kwa misuli ya moyo (kushoto ventrikali hypertrophy) au kama moyo una uzoefu kabla madogo ya usumbufu kama vile mashambulizi ya kimya moyo. Kifua X-ray au echocardiogram pia inaweza kufanywa kwa kuangalia kwa ishara ya moyo utvidgningen au uharibifu wa moyo.

Kinga

Idadi ya watu ambao wanashinikiza la juu la damu ni kubwa japo hawatambui. Hutua ya kushughulikia idadi ya watu wote wanaotakiwa kupunguza madhara ya shinikizo la damu na kupunguza haja ya tiba ya antihypertensive dawa za kulevya. Mabadiliko ya maisha Ilipendekeza kuwa shinikizo la damu liwe chini, kabla ya kuanza dawa za tiba.

2004 Uingereza shinikizo la damu Society la miongozo mapendekezo ya mabadiliko ya maisha yafuatayo sambamba na miongozo ilivyoainishwa na Marekani ya taifa ya mipango ya High BP elimu ya mwaka 2002 kwa ajili ya kuzuia msingi wa shinikizo la damu ni kama ifuatavyo:
  • Kudumisha kawaida uzito wa mwili (kwa mfano. mwili molekuli index 20–25 kg/m2).
  • Kupunguza malazi sodium ujali kwa mmol <100 mmol/ siku (<6 g ya kloridi sodium au<2.4 g ya sodium kwa siku).
  • Kushiriki katika shughuli za mara kwa mara aerobic kimwili kama vile kutembea upesi (≥30 min kwa siku, wengi siku za juma).
  • Punguza pombe kwa vitengo visivyozidi 3 units/ kwa siku kwa wanaume na vitengo visivyozidi 2 units/ kwa siku kwa wanawake.
  • Hutumia lishe lenye matunda na mbonga (kwa mfano, angalau tano sehemu kwa siku).
Mabadiliko mwafaka ya mtindo wa maisha yanaweza kupunguza shinikizo la damu kama ilivyo kwa dawa ya mtu binafsi ya antihypertensive na kupata matokeo bora zaidi.

Udhibiti

Mabadiliko katika mtindo wa maisha
Aina kwanza ya matibabu ya shinikizo la damu ni inafanana na mabadiliko ya mtindo wa maisha yaliyopendekezwa, na ni pamoja na mabadiliko ya malazi physical exercise, and weight loss. Mazoezi ya viungo, na kupunguza uzito. Mabadiliko haya yote yameonekana kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu kama shinikizo la damu ni ya juu kiasi cha kuhalalisha matumizi ya haraka ya dawa, mabadiliko ya maisha bado yanapendekezwa..

Mipango mbalimbali iliyoundwa na kupunguza dhiki ya kisaikolojia biofeedback, ulegezaji, au kutafakari hutangazwa ili kupunguza shinikizo la damu. Hata hivyo, tafiti za kisayansi , kwa ujumla hazina ushahidi wala ufanisi wao, kwa sababu masomo kwa ujumla ya ubora wa chini.

Malazi na mabadiliko kama vile chakula cha chini sodiamu ni faida. Muda mrefu ( zaidi ya wiki 4) chini -sodiamu chakula katika Caucasian, race Caucasians ni bora katika kupunguza shinikizo la damu, kwa watu na shinikizo la damu na kwa watu wenye shinikizo la damu ya kawaida . pia , chakula DASH diet, lishe lenye karanga, nafaka, samaki, kuku, matunda, na mboga, ambayo husaidia kukuza moyo na Taifa , Mpafu, na damu Taasisi, punguza shinikizo la damu. Kipengele kikubwa cha mpango wa sodiamu, ingawa mlo pia ni tajiri potassiamu, magnesiamu, calcium, na protini.

Dawa
Madarasa kadhaa ya dawa, pamoja inajulikana kama antihypertensive madawa ya kulevya s, sasa zipo kwa ajili ya kutibu shinikizo la damu. Mtu hatari wa moyo na mishipa ( ikiwa ni pamoja na hatari ya infarction myocardial na kiharusi) na masomo ya shinikizo la damu ni kuchukuliwa wakati maagizo madawa ya kulevya.

Ikiwa matibabu ya madawa ya kulevya ni ikianzishwa,Moyo ya taifa,Mapafu,na damu Taasisi ya saba ya pamoja ya kamati ya taifa ya juu ya shinizo la damu (JNC-7) Inapendezeka kwamba kufuatilia daktari kwa ajili ya Kukabiliana na matibabu kwa ajili ya kutathmini na athari yoyote mbaya kutokana na dawa. Kupunguza shinikizo la damu na 5 mmHg inaweza kupunguza hatari ya kiharusi kwa 34% na hatari yaungonjwa wa moyo ischemic kwa 21%. Shinikizo la damu kupunguza pia husaidia kupunguza uwezekano wa shida ya akili, moyo kushindwa, na vifo kutokana na ugonjwa wa moyo na mishipa.

Lengo la matibabu ya lazima ya kupunguza shinikizo la damu na chini ya 140/90 mmHg kwa ajili ya watu wengi, na chini kwa kale wenye ugonjwa wa kisukari au ugonjwa wa figo. Baadhi ya wataalamu wa afya kupendekeza kuweka Viwango vya chini 120/80 mmHg. Kama lengo shinikizo la damu si alikutana,matibabu zaidi inahitajika.

Miongozo juu ya uchaguzi wa dawa na jinsi ya kuamua bora kwa ajili ya matibabu subgroups mbalimbali vilivyobadilika na tofauti kati ya nchi. Wataalamu wala kukubaliana kuhusu dawa bora. The Kushirikiana Cochrane, Shirila la Afya ya Duniani, na Umoja wa Mataifa kusaidi miomgozo ya chini -dozi thiazide-makao diuretic kama matibabu ina penda zaidi ya awali.

Uingereza Miongozo kusisitiza calcium channel blockers (CCB) kwa ajili ya watu zaidi ya umri wa miaka 55 au ya Afrika au Caribbean asili ya familia. Miongozo kupendekeza angiotensin-kuwabadili enzyme kivizas (ACEI)s kama matibabu ina penda zaidi ya awali kwa ajili ya watu wadogo.

katika Japan, kwa kunzia na mtu yeyote wa Madarasa sita ya dawa ikiwa ni pamoja na : CCB, ACEI/ARB, thiazide diuretics, beta blockers, na blockers alpha ni aliona nafuu. Katika Canada, yote ya dawa hizi isopokuwa alpha blockers- ni Ilipendekeza kama inawezekana chaguzi ya kwanza.

Madawa ya mchanganyiko
Watu wengi wanahitaji zaidi ya moja ya madawa ya kudhibiti shinikizo la damu zao. JNC7 and ESH-ESC guidelines Wakili kuanza matibabu ya madawa ya mbili wakati shinikizo la damu ni zaidi ya 20 mmHg hapo juu systolic au zaidi ya 10 mmHg juu ya malengo ya diastolic. Michanganyiko ya ku penda zaidi ni rennin-angiotensin na Kalsium channel blockers, au inhibitors renin–angiotensin nadiuretics.Michanganyiko kukubalika ni pamoja na yafuatayo:
  • Calcium channel blockers na diuretics
  • Beta blockers na diuretics
  • Dihydropyridine calcium channel blockers na beta blockers
  • Dihydropyridine calcium channel blockers na ama verapamil or diltiazem
Michanganyiko haikubaliki ni kama ifuatavyo:
  • Yasiyo ya calcium blockers (kama vile verapamil au diltiazem) na beta blockers
  • Dual renin–angiotensin mfumo blockade (Kwa mfano, angiotensin kuwabadili enzyme kiviza + angiotensin receptor blocker)
  • Renin–angiotensin mfumo blockers na beta blockers
  • Beta blockers na madawa ya anti-adrenergic.
Kuepuka michanganyiko ya kiviza ACE inhibitor au angiotensin II adui receptor antagonist, a diuretic, na NSAID ( Ikiwa pamoja na kuchangua COX-2 inhibitors na madawa ya kulevya nonprescribed kama vile ibuprofen) kila inapowezekana kutokana na hatari kubwa ya kushindwa kwa figo papo hapo. Mchanganyiko inajulikana simo kama “whammy triple” katika maandiko ya Australia ya Afya. Vidonge vyenye mchanganyiko za kudumu wa Madarasa mawili ya dawa za kutosha. Wakati wao ni rahisi, wao ni bora akiba kwa ajili ya watu ambao ni amara katika vipengele mtu binafsi.

Wazee
Kutibu wastani kwa presha kali itapungua vifo na athari upande wa moyo na mishipa katika watu wenye umri wa miaka 60 na kuendelea. Katika watu zaidi ya miaka 80 na umri wa tiba haionekani kwa kiasi kikubwa kupunguza vifo vya jumla lakini kupunguza hatari ya ungonjwa wa moyo.

Ilipendekeza shinikizo la damu lengo ni chini ya 140/90 mm Hg na thiazide diuretics ya kuwa dawa yaku penda zaidi katika Amerika. Katika mwongozo mpya Uingereza, Kalsiamu-channel blockers ya matibabu ina penda zaidi na masomo kliniki lengo la chini ya 150/90 mmHg, au chini ya 145/85 mmHg juu ya ufuatiliaji ambulatory au nyumbani shinikizo la damu.

Shinikizo sugu la damu
Shinikizo sugu la damu ni shinikizo la damu kwamba bado hapo juu lengo shinikizo la damu licha ya matumizi ya mawakala wa tatu antihypertensive mali ya madaraja mbalimbali ya madawa ya kulevya antihypertensive wote mara moja. Miongozo kwa ajili ya kutibu shinikizo la damu sugu yamechapishwa katika Uingereza and the US.

Uenezi
Mwaka 2015 takriban 16-37% ya idadi ya watu wazima wa dunia, walikuwa na shinikizo la juu la damu. Ilikuwa ni kawaida katika nchi zote: zilizoendelea (333 milioni) na zisizostawi (639 milioni). Hata hivyo, viwango hutofautiana vikubwa katika mikoa mbalimbali kwa viwango vya chini kama 3.4% (wanaume) na 6.8% (wanawake) katika maeneo ya vijijini India na kama 68.9% ( wanaume) na 72.5% (wanawake) katika Poland.

Mwaka 1995 ilikadiriwa kuwa milioni 43 watu Marekani walikuwa na shinikizo la juu la damu au walikuwa wakitumia dawa ya kulipunguza. Takwimu hiyo inawakilisha karibu 24% ya idadi ya watu wazima nchini. Viwango vya shinikizo la damu nchini Marekani walikuwa kuongezeka na kufikia 29% mwaka 2004. Kama ilivyo mwaka 2006 shinikizo la damu huathiri watu wazima 76 milioni Marekani (34% ya idadi ya watu) na kuwa miongoni mwa viwango yva juu zaidi vya shinikizo la damu katika dunia kwa 44%.

Ni zaidi ya kawaida katika Wamerikani uliotekea na chini ya kawaida katika Wazungu na Hispanics. Viwango vya kuongezeka kwa umri, na ni mkubwa kusini mashariki mwa Marekani. Shinikizo la damu ni la kawaida zaidi ndani ya wanaume kulinganisha na wanawake (ingawa wanakuwa wamemaliza kuelekea kupunguza tofauti hii) na kwa wale wa hali ya chini kiuchumi.

Watoto
Viwango ya shinikizo la damu kwa watoto inaongezeka. Zaidi shinikizo la damu kwa watoto, hasa kabla ya ubalehe, linategemea ugonjwa mwingine wa msingi. Mbali na fetma, figo ugomjwa ni sababu ya kawaida (60–70%) ya shiniko la damu kwa watoto. Vijana kawaida kuwa na msingi au muhimu shinikizo la damu, ambayo akaunti kwa ajili ya 85–95% ya kesi.

Historia

Mchoro wa veni katika kitabu cha William Harvey Exercitatio anatomica de motu cordis et sanguinis in animalibus (“An Anatomical Exercise on the Motion of the Heart and Blood in Living Beings”)
Uelewa wa kisasa wa mfumo wa moyo ulianza na kazi ya mtabibu William Harvey (1578-1657).

Harvey alielezea mzunguko wa damu katika kitabu chake De Otu ordis ("On Motion of the Heart and Blood"). Padri wa Uingereza Stephen Hales alifanya kipimo cha kwanza cha kuchapishwa cha kipimo cha shinikizo la damu katika mwaka 1733 .

Maelezo ya shinikizo la damu kama ugonjwa ulitoka, miongoni mwa wengine, Thomas Young katika mwaka 1808 na Richard Bright katika mwaka 1836 .[8Ripoti ya kwanza ya muiniko wa shinikizo la damu katika mtu bila ushahidi wa ugonjwa wa figo ilitolewa na Frederick Akbar Mahomed (1849-1884). Hata hivyo, shinikizo la damu kama chombo cha kliniki ilikuja kuwa katika mwaka 1896 na uvumbuzi wa cuff sphygmomanometer na Scipione Riva-Rocci mwaka 1896.

Uvumbuzi huu uliruhusu shinikizo la damu kupimwa katika zahanati. Mwaka 1905, Nikolai Korotkoff aliboresha mbinu kwa kueleza Korotkoff sounds ambazo zilisikiwa wakati ateri ilikuwa auscultated na stetoskopu wakati sphygmomanometer cuff ilikuwa imwetolewa upepo

Kihistoria matibabu ya kiitwacho "ugonjwa mgumu wa pigo la moyo" ilihusisha kupunguza kiasi cha damu na blood letting au kupaka leeches. Yellow Emperor wa Uchina, Cornelius Celsus, Galen, na Hippocrates walitetea kuruhusu damu. Katika karne za 19 na 20, kabla ya matibabu ya ufanisi ya pharmacological ya shinikizo la damu ilikuwa inawezekana, taratibu tatu za matibabu zilitumika, zote zikiwa na athari mbalimbali.

Namna hizi ni pamoja na taratibu kali za kizuizi cha sodiamu, (kwa mfano, lishe la mchele sympathectomy (upasuaji wa kukausha sehemu za sympathetic nervous system), na tiba ya pyrogen (kudungwa dutu ambazo zilisababisha homa, pasipo moja kwa moja kupunguza shinikizo la damu) Kemikali ya kwanza ya shinikizo la damu, sodium thiocyanate, ilitumika mwaka 1900 lakini ilikuwa na madhara mengi na haikupendwa.

Mawakala wengine kadhaa waliundwa baada ya Second World War. Maarufu zaidi na fanisi kiasi ilikuwa tetramethylammonium hidrojeni na isio na uasili yake hexamethonium, hydralazine, na reserpine (inayotokana na mmea wa dawa Rauwolfia serpentina). Uvumbuzi kubwa ilikuwa ya mafanikio na ugunduzi wa mawakala wa mdomo wa kwanza nzuri wanapatikana wanayovumiliwa. Ya kwanza ilikuwa chlorothiazide, ya kwanza thiazide diuretic, ambayo iliundwa na kiua vijasumu sulfanilamide na kupatikana mwaka 1958.

Iliongeza takamwili ya chumvi wakati inazuia mkusanyiko wa maji. randomized controlled trial ambayo ilifadhiliwa na Veterans Administration ikilinganishwa na hydrochlorothiazide pamoja na reserpine pamoja na hydralazine dhidi ya placebo. Utafiti huo ulisimamishwa mapema kwa sababu wale walio katika kundi la shinikizo la juu la damu ambao walikuwa wanapata tiba walipatwa na matatizo mengi zaidi ya wagonjwa waliotibiwa na ilionekana ni vibaya kumnyima matibabu kutoka kwao.

Utafiti uliendelea kwa watu wenye shinikizo la damu ya chini na kuonyesha kwamba matibabu, hata katika watu walio na shinikizo la damu kiasi, kupunguza hatari ya kufa moyo na mishipa kwa zaidi ya nusu. Mwaka 1975, Lasker Special Public Health Award ilitolewa kwa timu ambayo iliunda chlorothiazide. Matokeo ya tafiti hizi ilisababisha kampeni za afya za umma ili kuongeza uelewa wa umma wa shinikizo la damu na ilikuza kipimo na matibabu ya shinikizo la damu. Hatua hizi huonekana zilichangia angalau kwa sehemu kwa kupungua kwa asilimia 50 katika ugonjwa wa kiharusi na ischemic heart kati ya 1972 na 1994.

Jamii na utamaduni
Uelewa

Grafu inaonyesha kiwango cha ufahamu, matibabu na udhibiti wa shinikizo la damu ikilinganishwa na kati ya utafiti nne ya NHANES

Shirika la Afya Duniani limebainisha shinikizo la damu kama chanzo kikubwa cha cardiovascular mortality. The World Hypertension League (WHL), shirika mwamvuli la jamii 85 ya taifa ya shinikizo la damu na ligi, ilitambua kuwa zaidi ya asilimia 50 ya watu walio na shinikizo la damu duniani hawajui hali yao.

Ili kukabiliana na tatizo hili, WHL imeanzisha kampeni ya kimataifa juu ya shinikizo la damu mwaka 2005 na kutunikia tarehe 17 Mei kila mwaka kama World Hypertension Day (WHD). Zaidi ya miaka mitatu iliyopita, vyama zaidi vya kitaifa vimekuwa vikishiriki katika WHD na wamekuwa wabunifu katika shughuli zao za kupata ujumbe kwa umma.

Mwaka 2007, kulikuwa na rekodi ya ushiriki kutoka nchi ya wanachama 47 ya WHL. Wakati wa wiki ya WHD, nchi hizi zote zilishirikiana na serikali za mitaa, jamii za kitaaluma, mashirika yasiyo ya kiserikali, na viwanda binafsi kukuza ufahamu wa shinikizo la damu kupitia kampeni kadhaa media na umma. Ukitumia mass media kama vile wavuti na runinga, ujumbe umewafikia zaidi ya watu milioni 250. Vile kasi inaongezeka mwaka baada yaa mwaka, WHL ina matumaini kuwa karibu watu wote wanaokadiriwa kufikia bilioni 1.5 ambao wameathirika na muinuko wa shinikizo la damu wanaweza kufikiwa.

Uchumi
Shinikizo la damu ni shida sugu ya kawaida ya matibabu inayochochea ziara kwa watoa huduma msingi wa afya nchini Marekani. Shirika la Moyo Marekani limekadiria gharama za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ya shinikizo la damu katika dola bilioni 76.6 katika mwaka 2010. Nchini Marekani, asilimia 80 ya watu walio na shinikizo la damu wanafahamu hali zao na asilimia 71 wanachukua baadhi ya dawa dhidi ya shinikizo la damu.

Hata hivyo, asilimia 48 tu ya watu ambao wanafahamu wana shinikizo la damu wanadhibiti ipasavyo hali hiyo. Madaktari wanakabiliwa na shida nyingi katika kudhibiti shinikizo la damu, ikiwa ni pamoja na upinzani kwa kutumia dawa mbalimbali ili kufikia malengo ya shinikizo la damu. Watu pia wanakabiliwa na changamoto ya kufuata ratiba ya dawa na kufanya mabadiliko ya maisha. Hata hivyo, kufikia malengo ya shinikizo la damu inawezekana. Kupunguza shinikizo la damu inapunguza gharama kwa kiasi kikubwa ambayo inahusishwa na huduma ya matibabu ya juu.

1580992833890.png


UFAFANUZI MWINGINE KUTOKA KWA WADAU WA JF
Foods and Herbs that Lower Blood Pressure

There are many foods and herbs that lower blood pressure. Rather than going for artificial medication, it's better that you opt for natural foods and herbs.

Yes a proper diet, regular health check ups and medication can help you lower blood pressure. But to be more effective, it's advised that you also start consuming foods and herbs that lower blood pressure. The two main reasons of high blood pressure among individuals is obesity and stress. The consumption of artificial and processed foods increases weight and the constant deadlines at work takes a toll on your health by increasing the stress levels. Now the best way to avoid high blood pressure, is to start consuming a balanced diet which is filled with foods and herbs and also start exercising on a regular basis.

Lowering Blood Pressure: Foods and Herbs

Hypertension or high blood pressure is one of the most common health ailments which affects more than 50 million people in the US alone. Blood pressure is basically the force of the blood against the walls of arteries. If a person is suffering from high blood pressure, the heart of that person works much harder and the victim is also prone to many cardiovascular diseases. The list of foods and herbs that lower blood pressure given below is useful for people who are trying to control this situation.

Spinach (Mchicha)
According to the latest reports from the latest medical universities in the world, people who consume more than 800 mg of spinach per day have a very low chance of suffering from high blood pressure. Spinach is an excellent source of folate and magnesium. Both of these constituents help in lowering blood pressure.

Avocados (Tunda la Avokado)
Many people are not big fans of avocados, but you can use them in making your favorite dips and sauces. Also lower the consumption of chips and eat carrots with dips. Avocados and carrots are a great source of potassium which helps in lowering blood pressure.

avocado.jpg



Turmeric (Manjano)
One of the best herbs to lower blood pressure, turmeric is a very popular herb from the Indian sub continent. It's found in almost every Indian home. Not only is it an excellent wound healer, it also boosts metabolism, reduces cholesterol, regulates blood circulation and purifies the blood.

tumeric_0706.jpg



Fish (Samaki)
Fish is the best example of foods that lower blood pressure quickly. Salmon, cod, tuna and halibut are excellent sources of potassium which is good for the blood. Fish is a rich source of omega 3 fatty acids which keeps the heart healthy. While buying make sure you always select fresh fish.

Nuts (Njugu za aina yoyote ile)
Medical reports and journals often say that eating nuts like pistachios, almonds and walnuts is very good for the heart and it helps in keeping the blood pressure under control. People suffering from high blood pressure should consume nuts daily. They are a high source of saturated fats and antioxidants, both are considered good for the heart.

00453461.jpg


Dark Chocolate ( Chokolate rangi ya kahawia)
Chocolate lovers will love to know that flavonoids contained in it lower blood pressure by increasing the production of nitric oxide in the body. Nitric oxides helps the body muscles to relax which means more blood flow. Dark chocolate also keeps your cholesterol level under control. If you are overweight, make sure you eat only little chunks of chocolate which would be enough to lower your blood pressure.

Garlic Chives (Majani ya kitunguu Saumu)
Garlic chives come from the same family as garlic but are not as spicy as garlic cloves. They are a popular herb used in Asian cooking. They have a high content of vitamin C, beta carotene, potassium, vitamin A, and riboflavin. The oil of garlic chives is used for the treatment of wounds and cuts. Chives also make the heart healthy, regulate blood flow, and lower blood pressure.
800px-Cut_Garlic_Chives.jpg



Potatoes (Viazi ulaya (Mbatata)
Most people identify potatoes as a vegetable which increases fat levels in the body. But most of us overlook its health benefits and this vegetable is often prepared in unhealthy ways. Potatoes are a great source of potassium and fiber which is very healthy for your heart.

So these were some of the foods and herbs which you can consume to lower your blood pressure. It's not always safe to opt for medication, going the natural way has a long term and positive effect.

potato.jpg


Haya tena kwa wale Wenye Maradhi ya Presha ya kupanda (Hypertension or high blood pressure) tumie vyakula hivyo hapo juu vitakusaidieni kuishusha hayo Maradhi ya Presha ya kupanda.
----
Matibabu ya shinikizo la damu kwa nchi nyingi duniani, yanafanywa kutokana na matokeo ya ASCOT Trial ( Anglo-Scandinavian- Cardiac -Outcomes Trial). Kulikuwa na Lipid lowering arm (matibabu ya kupunguza cholesterol ASCOT-LLA), hii kulikuwa ma wagonjwa 10,305 na BP lowering arm (matibabu ya kupunguza shinikizo la damu) ASCOT-BPLA.
ASCOT-BPLA ilikuwa na wagonjwa 19,257.

Kutoka ASCOT BPLA : Ilionyesha kuwa sisi watu weusi bila kujali umri, tukiwa na shinikizo la damu, basi dawa la kundi lijulikanalo kama Calcium Chanel blockers (CCBs) ndio zinafanya kazi vizuri zaidi kuliko ACEi au ARBs.

Zipo CCB nyingi tu zaidi ya felodipine, kuna amlodipine, lercanidipine, diltiazem, verapamil, nicardipine, nilsodipine, isradipine,nimodipine, clevidipine . Sasa Daktari wako angeweza kukubadilishia hiyo felodipine na moja kati ya hizo CCBs nilizoainisha hapo juu.

Dr wako, anaweza pia akabadili badala ya wewe kuendelea na hydralazine, anaweza kukupa moja kati ya Thiazide diuretics kama vile indapamide.

Uwezekano mwingine ni kukupa moja kati ya CCBs hapo juu na dawa nyingine toka kwenye kundi la ACE-i ( Angiotensin Converting Enzyme -Inhibitors) kama vile Lisinopril, Ramipril, Enalapril nk, kama mgonjwa hawezi kunywa ACE-i au zinampa side-effects mbaya, basi Dr anaweza kukuandikia dawa toka kwenye kundi la ARBs (Angiotensin II Receptor Blockers) hapa kuna kina Losartan, Candesartan, olmesartan, valsartan nk.

Kwa ngozi nyeupe chini ya miaka 55, dawa za ACE-i au ARBs ndiyo zinafanya kazi vizuri kwenye shinikizo la damu, kama BP itakuwa juu basi, nyongeza ya ACEi au ARBs inaweza kufanywa. Ngozi nyeupe aka wazungu, baada ya miaka 55 wana respond vizuri na CCBs.

Kikubwa mkuu, daktari wako ana OPTIONS kibao za kufanya ili aweze kukutibu shinikizo la damu na uendelee kugegeda bila shida.

Kumbuka pia mazoezi (mdogo mdogo kwa sasa mpaka Bp ishuke) and lishe boroa.
---
SHINIKIZO LA DAMU ( High blood pressure)

bp1.jpg




Shinikizo la damu ni moja ya tatizo linaloathiri watu wengi duniani.

Nini maana ya shinikizo la damu?

Ni msukumo wa damu ulioko juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huitajika mwilini ili kusambaza chakula,oksijeni na kutoa uchafu.

Uanishaji wa shinikizo la damu

Shinikizo la damu hupimwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer

Shinikizo la damu husababishwa na nini?
Aina ya kwanza: Asilimia 90-95 sababu huwa hazijulikani na kitaalamu huitwa primary or essential hypertension. Ingawa vitu vifuatavyo vimehusishwa kupelekea kupata aina hii ya shinikizo la damu. Navyo ni:


  1. Uvutaji sigara
  2. Unene (visceral obesity)
  3. Unywaji wa pombe
  4. Upungufu wa madini ya potassium
  5. Upungufu wa vitamin D
  6. Kurithi
  7. Umri mkubwa
  8. Chumvi na madini ya sodium kwa ujumla
  9. Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
  10. Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin
Aina ya Pili: Asilimia 5 huwa na sababu dhahiri zinazopelekea kupata aina hii ya shinikizo la damu na huitwa kitaalamu secondary hypertension. Na sababu hizi ni:

  1. Hali ya kukosa hewa usingizini (sleep Apnea)
  2. Kasoro ya kuzaliwa nayo katika mshipa mkubwa wa damu (Coarctation of Aorta)
  3. Saratani za figo (wilms tumor, renal cell carcinoma)
  4. Saratani ya tezi iliyo juu ya figo (pheochromocytoma)
  5. Ujauzito wapo wakina mama wajawazito ambao hupata shinikizo la damu na huwa hatarini kupata kifafa cha mimba (eclampsia)
  6. Magonjwa ya figo (renal artery stenosis, glomerulonephritis)
Dalili
Mara nyingi huwa hamna dalili zozote, na kama zikiwepo mgonjwa huwa na dalili zifuatazo:


  1. Uchovu
  2. Maumivu ya kichwa
  3. Kuhisi mapigo ya moyo kwenda haraka
  4. Kichefuchefu
  5. Kutapika
  6. Damu kutoka puani
  7. Kutoweza kuona vizuri (blurred vision)
  8. Kusikia kelele masikioni
  9. Na mara chache kuchanganyikiwa


Vipimo na uchunguzi

photolibrary_rf_photo_of_hypertension_symptoms.jpg




Huitaji kupima angalau mara tatu angalu wiki moja tofauti ilikuweza kusema mgonjwa ana shinikizo la damu kwa kutumia kifaa kinachoitwa kitaalamu Sphygmomanometer. Vipimo vingine ni:

  1. Damu kuchunguza wingi wa lijamu mwilini (cholesterol), na pia vitu kama (BUN, na electrolytes)
  2. Kipimo cha mkojo (Urinalysis)
  3. Electrocardiogram (ECG)
  4. Echocardiography
  5. Ultrasound ya mafigo
Matibabu
Lengo ni kuzuia madhara ambayo yanaweza kuletwa na shinikizo la damu. Dawa zifuatazo hutumika kutibu shinikizo la damu: dawa jamii ya Alpha blockers, dawa jamii ya Angiotensin converting enzyme inhibitor (ACEI), dawa jamii ya Angiotensin receptor blocker (ARB), dawa jamii ya Beta blocker, dawa jamii ya Calcium channel blocker, dawa jamii ya Diuretics, dawa jamii ya Renin inhibitors na dawa jamii ya Vasodilators.

Madhara yanayoweza kuletwa na shinikizo la damu
  1. Kiharusi
  2. Moyo kushindwa kufanya kazi ( congestive heart failure)
  3. Madhara katika mshipa mkubwa wa damu ambapo ukuta wa ndani huchanika na damu hukusanyika katika ukuta wa mshipa huo(aortic dissection)
  4. Magonjwa ya mishipa ya damu
  5. Kushindwa kuona
  6. Athari katika ubongo

Jinsi ya kuzuia shinikizo la damu
  1. Chakula cha afya kisicho na mafuta mengi na chenye madini ya potassium kitaalamu kinaitwa DASH diet (dietary approaches to stop hypertension)
  2. Mazoezi mara kwa mara- angalau nusu saa kwa siku
  3. Kwa wavutaji sigara kuacha kuvuta sigara
  4. Punguza au kama unaweza acha unywaji wa pombe ( kwa wanaume angalau bia 2 kwa siku na wanawake bia 1)
  5. Punguza utumiaji wa chumvi hasa ya kuongeza mezani (usitumie zaidi ya gramu 1.5)
  6. Punguza msongo mawazo
  7. Hakikisha unakuwa kwenye uzito wa afya, kama uko kwenye uzito wa hatari fanya mpango wa kupunguza uzito.
  8. Matumizi ya mafuta ya samaki husaidia kupunguza shinikizo la damu, kwa wenye shinikizo la damu.
---
UGONJWA WA PRESHA (BLOOD PRESSURE)



images


maradhi-ya-presha-kwa-umri-wako-jpg.342594



Presha ya kawaida isiwe zaidi ya 140/90mmlHg.
Presha ikiwa haitibiwi huharibu mishipa ya damu katika macho, misuli ya moyo kuwa minene , kusababisha mshutuko wa moyo (heart attack), mshipa ya damu safi kuwa migumu, figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure) na kiharusi (stroke).
Presha kwa mwanamke mjamzito inaweza kusababisha kifafa cha mimba na kufanya hata kiumbe kufa tumboni. Hivyo ni muhimu kuchunguza presha ya wanawake wote wajawazito.

Visababishi vya presha kuwa juu
  • Chumvi nyingi
  • Unene uliozidi
  • Umri mkubwa au uzee
  • Figo ikiwa haifanyi kazi
  • Historia ya ugonjwa wapresha kwenye familia
  • Ugonjwa wa kisukari
Dalili ya mtu mwenye ugonjwa wa presha
Mara nyingi presha haina dalili hadi ilete madhara na hivyo huitwa( silent killer ) muuaji wa kimyakimya
  • kichwa kuuma
  • kizunguzungu
  • kubanwa na pumzi
  • kutokuona vizuri
  • kichevuchevu

Vitu vinavyo changia hali presha kuwa mbaya zaidi ni
  • Kula chuvi nyingi
  • Unene uliozidi
  • Kutofanya mazoezi mara kwa mara
  • Kunywa pombe nyingi
  • Uvutaji wa sigara
Tiba ya ugonjwa wa presha
  • Mojawapo ya tiba ya presha ni kuacha vyakula vyenye chumvi kabisa kama itatumika iweke kidogo ya ladha wakati chukula kipo jikoni.
  • Pia mazoezi kwa ajili ya kupunguza uzito ni muhimu kwa tiba ya ugonjwa wa presha. Jitahidi kutenga mda wa mazoezi angalau dakika 30-60 mara tatu kwa wiki.
  • Epuka vyakula vyenye mafuta na lehemu maana vinaganda kwenye mishipa ya damu na kusababisha presha.
  • Daktari atakapo baini kuwa presha yako ipo juu, kulingana na aina na kiwango cha presha atakushauri kuhusiana na vyakula na jinsi ya kubadili mwenendo wa maisha au atakuanzishia dawa mara moja. Ni muhimu uelewe kuwa utakao anzishiwa dawa hutakiwi kuziacha maisha yako yote vinginevyo hali ya presha itarudi kama mwanzo.
 
UGONJWA WA PRESHA (BLOOD PRESSURE)



images


maradhi-ya-presha-kwa-umri-wako-jpg.342594



Presha ya kawaida isiwe zaidi ya 140/90mmlHg.
Presha ikiwa haitibiwi huharibu mishipa ya damu katika macho, misuli ya moyo kuwa minene , kusababisha mshutuko wa moyo (heart attack), mshipa ya damu safi kuwa migumu, figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure) na kiharusi (stroke).
Presha kwa mwanamke mjamzito inaweza kusababisha kifafa cha mimba na kufanya hata kiumbe kufa tumboni. Hivyo ni muhimu kuchunguza presha ya wanawake wote wajawazito.

Visababishi vya presha kuwa juu

  • Chumvi nyingi
  • Unene uliozidi
  • Umri mkubwa au uzee
  • Figo ikiwa haifanyi kazi
  • Historia ya ugonjwa wapresha kwenye familia
  • Ugonjwa wa kisukari
Dalili ya mtu mwenye ugonjwa wa presha
Mara nyingi presha haina dalili hadi ilete madhara na hivyo huitwa( silent killer ) muuaji wa kimyakimya
  • kichwa kuuma
  • kizunguzungu
  • kubanwa na pumzi
  • kutokuona vizuri
  • kichevuchevu

Vitu vinavyo changia hali presha kuwa mbaya zaidi ni
  • Kula chuvi nyingi
  • Unene uliozidi
  • Kutofanya mazoezi mara kwa mara
  • Kunywa pombe nyingi
  • Uvutaji wa sigara
Tiba ya ugonjwa wa presha
  • Mojawapo ya tiba ya presha ni kuacha vyakula vyenye chumvi kabisa kama itatumika iweke kidogo ya ladha wakati chukula kipo jikoni.
  • Pia mazoezi kwa ajili ya kupunguza uzito ni muhimu kwa tiba ya ugonjwa wa presha. Jitahidi kutenga mda wa mazoezi angalau dakika 30-60 mara tatu kwa wiki.
  • Epuka vyakula vyenye mafuta na lehemu maana vinaganda kwenye mishipa ya damu na kusababisha presha.
  • Daktari atakapo baini kuwa presha yako ipo juu, kulingana na aina na kiwango cha presha atakushauri kuhusiana na vyakula na jinsi ya kubadili mwenendo wa maisha au atakuanzishia dawa mara moja. Ni muhimu uelewe kuwa utakao anzishiwa dawa hutakiwi kuziacha maisha yako yote vinginevyo hali ya presha itarudi kama mwanzo.
 
mkuu MziziMkavu toa darasa na kwenye mtu mwenye low pressure
nilipima pressure ikawa 94/63 hapo vipi?
huwa nafanya mazoezi kwa wiki mara mbili kwa muda wa dk 30
na nina uzito wa kilo 52
naomba mashauri
Mkuu Kichwa Ngumu Presha ya kawaida isiwe zaidi ya 140/90mmlHg.Kwa kilo ulizokuwa nazo ni poa uwe unakula matunda na mboga za majani.
 
Last edited by a moderator:
HYPOTENSION : Low Blood Pressure
Ifahamu Presha ya kushuka

Nini presha ya kushuka ?

Hypotension ndio jina alinalotumika kuelezea presha ya kushuka (90/60 mm Hg) ambayo huonekana kutokuwa na sababu iliyoifanya itokee.Kipimo cha presha huwa na namba mbili. Namba moja huwa juu na nyengine huwa chini.

Hypotension (haipo juu). Kwa watu wengi presha hii huwatia kizunguzungu na kuwaangusha. Presha hii ikiwa ya muda mrefu husababisha mtu kupata maradhi ya mshtuko.Watu wenye afya nzuri, hasa wakimbiaji, presha ya kushuka huwa ni dalili ya uzima kwao.
Si rahisi kuziona dalili kwa mtu mwenye presha ya kushuka hata kama imedumu kwa muda mrefu. Mara nyingi matatizo ya kiafya huwa ni

dalili ya presha ya koshuka pale mtu presha yake inaposhuka ghafla. Wakati huo wa matatizo ya kiafya, damu kidogo hufika katika ubongo. Hali hii humfanya mtu awe na kizunguzungu au kuumwa na kichwa kusiko kuwa kukubwa. Kushuka ghafla kwa presha mara nyingi humtokezea mtu pale anapofanya jambo la haraka kama mtu aliyekaa na kutaka kusimama mara moja. Kitaalamu presha hii inajulikana

kama postural hypotension, orthostatic hypotension, au neurally mediated orthostatic hypotension.
Postural hypotension inachukuliwa ni hali ile ya kushindwa kwa mfumo wa mawasilianao unaojiendesha wenyewe mwilini kufanya kazi yake kikamilifu (autonomic nervous system). Mfumo huu huendesha na kuongoza vitendo visivyo vya hiari (involuntary vital actions), kama vile

mapigo ya moyo kubadilika kutokana na jambo lililotokea kwa wakati uleopo. Kwa kawaida unapoinuka, kiwango fulani cha damu yako kinakuwa kimebaki sehemu ya chini (miguuni). Kukiwa hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa na mwili wako, hali hii itasababisha presha yako kushuka. Katika hali hii mwili wako unafanya nini ?

Mwili wako unapeleka taarifa kwenye moyo na kuamuru uongeze usukumaji wa damu ambao utaizidi mishipa yako na kuifanya kuwa membamba hali itakayopelekea kuifanya presha yako kubakia ileile. Ikiwa jambo hili halikufanyika au limaefanyika polepole sana, presha yako itashuka ghafla. Hapa ndipo mtu unapomuona anaguka ghafla.

Kwa ufupi athari ya maradhi ya presha ya kushuka na ya juu huongezeka kadri mtu anapokuwa na umri mkubwa na pia kubadilikabadilika kadri umri unavyoongezeka. Jambo jengine la kufahamu ni kuwa, ufikaji wa damu kikawaida kwenye ubungo unapungua kadri umri unavyoongezeka. Inakisiwa kiasi cha asilimia 10 mpaka 20 ya watu wenye umri unaozidi miaka 65, wanapata tatizo la presha yao kushuka.

Ni kiwango gani cha presha kinapofika ndio huwa maradhi ?
Hakuna kiwango maalum kinachojulikana ambacho ni sawasawa kwa watu wote kikifika ndio kinaitwa maradhi. Kiwango ambacho kwako ndio uzima, basi huenda kwa mwenzako ikawa ni maradhi. Katika presha ya kushuka, madaktari wengi huchukulia kuwa tayari mtu ana

maradhi pale aambapo kiwango chake cha presha kinafuatana na dali za maradhi yenyewe.
Hata hivyo, baadhi ya wataalamu wanachukulia tayari mtu ana maradhi ya presha ya kushika pale vipimo vinapoonyesha kiwango hichi 90/60 mm Hg. Tufahamu kuwa kiwango cha namba inayosomwa chini katika kipimo cha presha (80/60 mm Hg ), hichi huonyesha tayari mtu huyu

anapresha ya chini hata kama kile cha juu ( 90/80mm Hg) kina namba iliyozidi 100. Mfano ikiwa umepimwa presha na ukapata kipimo hichi 115/60 mm Hg, presha yako itakuwa ipo chini. Na kama umepata kipimo hichi 115/50 mm Hg, sio kwamba presha yako itakuwa ipo chini tu, bali presha hii itakuwa si ya kawaida.

Dalili za maradhi

Kama nilivyokwisha tangulia kusema, presha inaweza kuwa sawa kati ya watu wawili lakini ikawa na matokeo tofauti. Presha hiyo inayoweza kuwa sawa na ikawa na matokeo tofauti si yenye kipimo hichi 120/80 mm Hg. Presha yenye kipimo hichi 120/80 mm Hg, ndiyo nzuri na watu wenye presha hii wanakuwa na afya nzuri. Kitu muhimu ni kujua, mabadiliko gani yanaleta tatizo katika presha hata inapelekea kuwa si ya kawaida.

Presha nyingi za watu wanapopimwa huwa zinakuwa kati ya 90/60 mm Hg (presha iliyo chini) mpaka 130/80 mm Hg (presha iliyo juu). Mabadiliko ya kushuka presha upande wa chini, hata kama kidogo kiasi cha 20 mm Hg, hupelekea matatizo kwa baadhi ya watu ( hasa watu wasiofanya mazoezi kila siku).

Mtu mwenye mazoezi ambae presha yake nzuri (120/80 mm Hg) akapimwa presha na kupata kipimo hichi, 110/60 mm au 120/70 mm Hg, mtu huyu hatakuwa na tatizo lolote la presha
Kuna aina tatu za presha ya kushuka :

Ø Orthostatic sambamba na postprandial orthostatic (Orthostatic hypotension, including postprandial orthostatic hypotension)
Orthostatic, hii ni aina ya kwanza ya presha inayosababishwa na kubadili mazingira uliyonayo kwa ghafla, maranyingi hutokea kwa mtu anayesimama kutoka alipolala. Presha hii haidumu muda mrefu, kiasi cha sekunde chache mpaka dakika moja. Ikiwa presha hii itatokezea

baada ya kula, basi itakuwa ni hatua ya pili (postprandial orthostatic) .Hatua hii ya pili huwapata zaidi wazee na wenye presha ya juu.
Ø Neurally mediated hypotension (NMH)
NMH kama ilivyo kifupisho cha presha aina ya pili, huwapata zaidi vijana na watoto. Presha hii hutokea pale mtu anaposimama kwa muda mrefu. Maranyingi huwapata sana watoto.

Aina hii ya pili ya presha ya kushuka maranyingi husababishwa na hali zifuatazo :
Utumiaji wa pombe
Utumiaji wa dawa za kutibu presah ya juu.
Utumiaji wa dawa za kumtoa fahamu mtu wakati wa kufanyiwa upasuaji

Mambo mengine yanayosababisha presha kushuka ni pamoja na :
Ugonjwa wa Kusukari
Mtu kula kitu kinachomdhuru
Mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida
Maradhi ya kuharisha
Kuzimia Maradhi ya moyo
Maradhi ya kustuka

Ø Severe hypotension hii ni aina ya tatu ya presha ya kushuka ambayo hutokana na kpoteza damu
Kwa muhtasari, dalili za presha ya kushuka ni pamoja na :
Kuona kizunguzungu/kuumwa na kichwa kusiko kuwa kukubwa
Kuzimia
Kushindwa kuzingatia
Kushindwa kuona vizuri ghafla
Kuona baridi,
Kujihisi kuchoka sana
Kuvuta pumzi kwa tabu
Kutapika
Kuhisi kiu

Hali zinazosababisha kupata presha ya kushuka.
Kinachosababisha presha ya chini bado hakijatambulika hasa. Chanzo chake hakiko wazi. Hata hivyo mambo yafuatayo yanaweza kuhusiswa nayo :
Kuwa na mimba
Matatizo ya homoni mwilini, maradhi ya kisukari, au upungufu wa sukari mwilini
Utumiaji mkubwa wa dawa
Ulaji wa dawa za presha unaopindukia kiwango (Overdose) kwa mtu mwenye presha ya juu.
Maradhi ya moyo
Maradhi ya figo

Nani anapata presha ya kushuka ghafla ?
Presha ya kushuka ghafla inayompata mtu anapoinuka ghafla, inaweza kumpata mtu yeyote kwa sababu tofauti zikiwemo,
o kuharisha sana,
o kukosa chakula ( njaa kali) kwa muda mrefu,
o kusimama kwa mapigo ya moyo, au
o kuchoka kupita kiasi.
o Pia inawezekana ikawa ni urithi wa maradhi,
o umri mkubwa,
o matumizi ya dawa,
o utapiamlo na
o mambo mengine kama kupatwa na madhara ya jambo fulani.
Nini kinaifanya presha inayoshuka iendelee ?

Pia Presha ya kushuka mara nyingi huwapata watu wanaotumai dawa kwa kutibu presha ya juu (hypertension). Pia huwapata wajawazito au wagonjwa wa kisukari. Mara nyingi wazee nao hupata maradhi haya hasa wale walio na presha ya juu wakiwa wanaendelea kutumia dawa zao za presha.

Baadhi ya maradhi ambayo yanasababisha presha kushuka kuendelea ni pamoja na
ü ukosefu wa vitamin mwilini,
ü madhara kwenye uti wa mgongo, na
ü kensa hasa kensa ya mapafu.
Wakati gani wa kuchukua hatua za matibabu

Matibabu huanza na hatua zako wewe mwenyewe. Wakati utakapojiona presha yako inashuka, kaa chini au lala chali na unyanyue miguu yako juu. Wakati yanafanyika haya, ufanyike utaratibu wa kuonana na daktari haraka. Pia ufanyike utaratibu wa kuonana na daktari yanapoonekana mambo yafuatayo yamemkuta mtu :
Maumivu ya kifua
Kizunguzungu
Kuzimia
Homa kali sana
Mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida
Kupumua kwa tabu

Pia afuatwe daktari haraka ikiwa baada ya hayo yaliyotokea, kuongezeka na haya yafuatayo :
Mtu anapata matatizo makubwa ya mkojo
Kushinwa kula au kunywa chochote
Kuendelea kuharisha au kutapika kwa muda mrefu

Matibabu na Dawa

Presha ya kushuka ambayo haijulikani chanzo chake wala haileti dalili au inampa mtu kizunguzungu anaposimama, mara chache inaweza kutafutiwa matibabu. Ikiwa zipo dalili, matibabu yataendana na chanzo chenyewe na daktari atashughulikia hicho chanzo. ( kuharisha,maradhi ya moyo, kisukari). Ikiwa presha ya chini imesababishwa na matumizi ya dawa kwa matibabu, basi matibabu yake huwa kubadili dawa nyengine ua kuacha kutumia dawa kabisa.

Ikiwa hakuna uhakika wa sababu za presha ya kushuka au hayapatikani matibabu yaliyo sahihi, matibabu sahihi yatakuwa ni kuifanya presha yako ipande na kuondoa zile dalili zanazokupata inapokujia.
Kwa kutegemea umri wako, hali yako ya kiafya na aina ya presha uliyonayo, mambo haya yanaweza kukusaidia :

Ø Kuongeza matumizi ya chumvi. Matumizi ya chumvi lazima yawe kwa kipimo, kwani chumvi nyingi hupandisha presha. Kabla hujaanza kuongeza matumizi ya chumvi, ni vizuri uwasiliane na daktari ili akupe kiwango cha matumizi.

Ø Kunywa maji mengi. Kunywa maji mengi kunamsaidia kila mtu sio mtu mwenye presha ya chini tu. Tunapozungumzia maji tunalenga zaidi vinywaji na sio maji peke yake, lakini vinywaji vyenyewe view ni maji, maji ya matunda maziwa na hata kahawa au chai. Tahadhari ichukuliwe kwa vinywaji vya viwandani kwani huwaletea matatizo baadhi ya watu.

Ø Kuvaa mavazi yenye kubana. Haya ni mavazi ya mpira ambayo yanavaliwa sehemu za miguuni. Mavazi haya yanasaidia kufanya damu yako isikae miguuni na iendelee kwenye mzonguko wake kikawaida.
Ø Matumizi ya dawa. Zipo dawa mbalimbali ambazo zinatumika kufuatana na hali ya presha uliyonayo.
Matibabu hospitalini.

Presha ya kushuka inayomtokezea mtu mwenye afya nzuri ambayo haina dalili zozote na haimletei matatizo yeyote, hatahitajika kutumia dawa.Ikiwa zipo dalili, atahitaji matibabu kutokana na hizo dalili zilizoonekana.Ikiwa presha ulokuwa nayo inatokana na matumizi ya dawa, daktari atakubadilishia dawa nyengine au utaacha matumizi ya dawa. Wale wenye NMH pamoja na matumizi ya dawa, inabidi waache tabia

ya kusimama muda mrefu. Kimtazamo presha ya chini inatibika hata kufikia mtu kuwa na presha ya kawaida.
Napenda nichukue nafasi hii kuwafahamisha kuwa, bila kubadili mfumo wa maisha ulionao, hata ukikusanyiwa dawa nzuri za dunia nzima kwa kutibu maradhi yako hutopata uzima wowote. Kubadili mfumo wa maisha si katika kuishughulikia presha tu, bali kwa maradhi yote ndio

tiba sahihi. Nini dawa zinafanya ?. Dawa zinalazimisha kuurudisha mfumo katika hali yake ya kawaida tu. Baada ya dawa kutoa msaada wake huu, kinachotakiwa kwako wewe kuendeleza mfumo huo unaofaa ambao dawa zimekurudishia tena.
Kwa kutegemea sababu za kupata presha uliyonayo, unaweza kuchukua hatua zifuatazo :

§ Kunywa maji mengi, kuacha kunywa pombe, Kula vyakula kiafya (kula nafaka, matunda, mbogamboga, kula mifupa ya samaki na hata ya ndege[kuku,njiwa nk]) Tupendelee kuku wa kienyeji zaidi. Ikiwa kuongeza chumvi katika chakula, basi usizidishe vijiko viwili vya chai kwa siku na ni vizuri sana upate ushauri kwa daktari.

§ Kujenga utamaduni wa kuinuka taratibu ulipo kaa ua kulala. kulalia mto, ikiwa unapenda kunalalia ubavu, pendelea kulalia upande wa kulia (kila unapozungumzia presha, basi jambo la kwanza la kukumbuka ni moyo, moyo wako uko upande wa kushoto, kitendo cha kulalia upande wa kushoto kinaweza kuupa tabu moyo katika utendaji wake wa kazi).

§ Kuwa na tabia ya kula chakula kidogo katika mlo wako. Kufanya hivyo kunasaidia presha yako kutoshuka baada ya kumaliza kula. Jipangie utaratibu wa kula mara kwa mara ili uweze kula chakula cha kutosha. Punguza kula vyakula vyenye uwanga kwa wingi kama vile, mbatata, wali na mikate. Kula chakula pamoja na chai au kahawa. Ni vizuri haya yote utakayoyafanya ukawasiliana na daktari kabla.

Kinga ya presha.

Ikiwa wewe ni mzima au tayari una presha ya kushuka, daktari atakushauri hatua za kuzuia isitokee au isiendelee au kuipunguza. Hatua hizo ni pamoja na :
1. Kuacha unywaji wa pombe.
2. Kuepuka kusimama muda mrefu ( hasa ikiwa tayari una NMH)
3. Kunywa maji kwa wingi
4. Kuinuka taratibu kutoka ulipokaa ua kulala
5. Kuvaa mavazi ya kubana miguuni (ikiwa tayari unayo)
 
Foods and Herbs that Lower Blood Pressure

There are many foods and herbs that lower blood pressure. Rather than going for artificial medication, it's better that you opt for natural foods and herbs.


Yes a proper diet, regular health check ups and medication can help you lower blood pressure. But to be more effective, it's advised that you also start consuming foods and herbs that lower blood pressure. The two main reasons of high blood pressure among individuals is obesity and stress. The consumption of artificial and processed foods increases weight and the constant deadlines at work takes a toll on your health by increasing the stress levels. Now the best way to avoid high blood pressure, is to start consuming a balanced diet which is filled with foods and herbs and also start exercising on a regular basis.

Lowering Blood Pressure: Foods and Herbs

Hypertension or high blood pressure is one of the most common health ailments which affects more than 50 million people in the US alone. Blood pressure is basically the force of the blood against the walls of arteries. If a person is suffering from high blood pressure, the heart of that person works much harder and the victim is also prone to many cardiovascular diseases. The list of foods and herbs that lower blood pressure given below is useful for people who are trying to control this situation.

Spinach (Mchicha)
According to the latest reports from the latest medical universities in the world, people who consume more than 800 mg of spinach per day have a very low chance of suffering from high blood pressure. Spinach is an excellent source of folate and magnesium. Both of these constituents help in lowering blood pressure.
spinach-bunch.jpg





Avocados (Tunda la Avokado)

Many people are not big fans of avocados, but you can use them in making your favorite dips and sauces. Also lower the consumption of chips and eat carrots with dips. Avocados and carrots are a great source of potassium which helps in lowering blood pressure.

avocado.jpg




Turmeric (Manjano)

One of the best herbs to lower blood pressure, turmeric is a very popular herb from the Indian sub continent. It's found in almost every Indian home. Not only is it an excellent wound healer, it also boosts metabolism, reduces cholesterol, regulates blood circulation and purifies the blood.

tumeric_0706.jpg



Fish (Samaki)

Fish is the best example of foods that lower blood pressure quickly. Salmon, cod, tuna and halibut are excellent sources of potassium which is good for the blood. Fish is a rich source of omega 3 fatty acids which keeps the heart healthy. While buying make sure you always select fresh fish.

fresh_fish.jpg


Nuts (Njugu za aina yoyote ile)

Medical reports and journals often say that eating nuts like pistachios, almonds and walnuts is very good for the heart and it helps in keeping the blood pressure under control. People suffering from high blood pressure should consume nuts daily. They are a high source of saturated fats and antioxidants, both are considered good for the heart.

00453461.jpg


Dark Chocolate ( Chokolate rangi ya kahawia)

Chocolate lovers will love to know that flavonoids contained in it lower blood pressure by increasing the production of nitric oxide in the body. Nitric oxides helps the body muscles to relax which means more blood flow. Dark chocolate also keeps your cholesterol level under control. If you are overweight, make sure you eat only little chunks of chocolate which would be enough to lower your blood pressure.
chocolate-dark.jpg



Garlic Chives (Majani ya kitunguu Saumu)

Garlic chives come from the same family as garlic but are not as spicy as garlic cloves. They are a popular herb used in Asian cooking. They have a high content of vitamin C, beta carotene, potassium, vitamin A, and riboflavin. The oil of garlic chives is used for the treatment of wounds and cuts. Chives also make the heart healthy, regulate blood flow, and lower blood pressure.
800px-Cut_Garlic_Chives.jpg



Potatoes (Viazi ulaya (Mbatata)

Most people identify potatoes as a vegetable which increases fat levels in the body. But most of us overlook its health benefits and this vegetable is often prepared in unhealthy ways. Potatoes are a great source of potassium and fiber which is very healthy for your heart.

So these were some of the foods and herbs which you can consume to lower your blood pressure. It's not always safe to opt for medication, going the natural way has a long term and positive effect.

potato.jpg


Chanzo: MziziMkavu

Haya tena kwa wale Wenye Maradhi ya Presha ya kupanda
(Hypertension or high blood pressure) tumie vyakula hivyo hapo juu vitakusaidieni kuishusha hayo Maradhi ya Presha ya kupanda.
 
Punguzeni kutumia Madawa ya hospitalini yana sumu na mdahra kwa binadamu tumieni vyakula alivyotuletea Mwenyeezi Mungu muumba havina madhara kwa binadamu na pia ni tiba kwa binadamu. Tumieni kwa wingi wenye Maradhi ya Presha ya kupanda hivyo vyakula nilivyoweka hapo juu vitawasaidia kuondoka na hiyo Presha ya kupanda au kwa lugha ya kiingereza ni Hypertension or high blood pressure ugonjwa unao uwa haraka kwa binadamu asanteni.
 
Kula vyakula bora ni muhimu sana, husaidia sana katika kuepuka magonjwa mbali mbali ya hatari. Shukrani Dr MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu, je utatusaidaje na sisi wenye matatizo ya KU CHARGE, yaani simu moja tu batery low, tutumie vyakula vipi?
Maana bila konyagi siwezi piga simu mbili :spit: :pray:.
 
Habari wana jamvi,

Nimepima pressure yangu na inaonekana iko 120/100.

Walioongea haraka haraka wanasema hii ya chini badala ya kuwa 100 inatakiwa iwe angalau 70-80. Kwa maana hiyo hii sio dalili nzuri na inabidi kuangalia tena ili kujua inavyoendelea.

Nimeona nije hapa jf kuomba yeyote mwenye wazo la ni nini cha kufanya au kutofanya ili kuiweka hii kitu katika hali ya kawaida ili kupigania haya maisha.

Tafadhali nieleze kiufasaha na kama unaweza kuni PM itakuwa vizuri zaidi
 
omujubi, Mkuu.@omujub Pole sana kwa maelezo yako Pressure yako ya 120/100. ipo juu jaribu kuishuha tumia Punje moja ya kitunguu saumu kula kabla ya

kula kitu kutwa mara 3 yaani Asubuhi punje 1 kabla ya kula kitu na mchana punje 1 kabla ya kula kitu na usiku punje 1 kabla ya kula

kitu kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa utupe feedback .
 
Back
Top Bottom