young damwasatz
Member
- Nov 13, 2018
- 8
- 4
habari wana jamvi mimi naomba ushauri na msaada juu ya namna ya kupata kituo cha mtihani hapa Dar es Salaam na shule zipi zinazo toa huduma hii na gharama
HmmMkuu nicheki hapa 0785907371 nitakusaidia sana
Naona unachangamkia fursaMbona umeguna?
Hakuna ubaya kabisa kamanda, umefanya vyemaKwani kuna ubaya wa kumsaidia ndugu yetu? Au nimefanya makosa mkuu?
Nifate inbob nkusaidie kipo nakijua na wanafunzi wanaorisit n weng ko inaeza kukusaidiahabari wana jamvi mimi naomba ushauri na msaada juu ya namna ya kupata kituo cha mtihani hapa Dar es Salaam na shule zipi zinazo toa huduma hii na gharama