Lukaku Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 843
- 742
Habari zenu wakuu,
Mwaka ndiyo hivyo tunauanza, mawazo safi ya biashara yanaanza kutokota.
Wazo la biashara ya mbao mahali nilipo haipo; nataka kuisogeza muongozo kwa anayeijua. Au kama kuna jamaa au rafiki yake niunganishe naye ili anipe ABC's za hiyo business.
Naomba kuwasilisha.
Mwaka ndiyo hivyo tunauanza, mawazo safi ya biashara yanaanza kutokota.
Wazo la biashara ya mbao mahali nilipo haipo; nataka kuisogeza muongozo kwa anayeijua. Au kama kuna jamaa au rafiki yake niunganishe naye ili anipe ABC's za hiyo business.
- Aina ya Mbao na bei zake
- Ukubwa wa Mbao na bei zake
- Transport costs
Naomba kuwasilisha.