Darubini1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 393
- 429
Nimekwama padogo sana na nimejitahidi kila kona mimi kama mimi, ila nimekwama.
Siwezi kutumia telegream app kwa bando la kawaida la mtandao husika katika hii nchi ya kiarabu, isipokuwa mpaka nikiwa ktk WIFI ya kazini, ambapo sina muda wa ku relax na simu zaidi mambo ya kazi.
Nilijaribu kuchukua WIFI router za mikataba ya post paid na makampuni husika still bila bila.
Telegram App. wameipiga pin huwezi ifungua mpaka katika WIFI.
Please my respectively GT. A needfully help will be much appriciated.
Siwezi kutumia telegream app kwa bando la kawaida la mtandao husika katika hii nchi ya kiarabu, isipokuwa mpaka nikiwa ktk WIFI ya kazini, ambapo sina muda wa ku relax na simu zaidi mambo ya kazi.
Nilijaribu kuchukua WIFI router za mikataba ya post paid na makampuni husika still bila bila.
Telegram App. wameipiga pin huwezi ifungua mpaka katika WIFI.
Please my respectively GT. A needfully help will be much appriciated.