Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 8,749
- 11,977
Endelea na hizo dharau zako ila iko siku utaja jua umuhimu wa hao watu na hapo ndipo utakapong'amua ujinga wako ulikuwa wapi.mkuu narudia Tz wanafunzi hawafundishwi sayansi bali historia ya sayansi.
ndo maana kupasua kichwa wakati waumwa mguu ni kawaida, asa huko kichwani walikuwa wanarekebisha nn?
Sent using Jamii Forums mobile app