Naomba msaada katika tatizo hili la Kompyuta yangu

Dim Ray

JF-Expert Member
Dec 15, 2019
318
247
Jamani naombeni msaada,

Laptop ninayotumia nikiiwasha sehemu ya kuweka password haiwezi ku 'input' character zozote, kwahiyo siwezi kuingia na kuitumia.

Tatizo hili limeanza leo muda wa saa 12 jioni.

Naombeni msaada jinsi ya kulitatua.
 
Samahani unaweza kuniambia kwanini umeweka hadi muda (saa) tatizo kuanza unafikili inaweza saidia kitu

Tuanze hapo ili nikusaidie ila hutavyokuja vyovyote ntakupokea

You"re are welcome
 
Samahani unaweza kuniambia kwanini umeweka hadi muda (saa) tatizo kuanza unafikili inaweza saidia kitu

Tuanze hapo ili nikusaidie ila hutavyokuja vyovyote ntakupokea

You"re are welcome
Mi nilidhani either ni useful kuelezea whether tatizo limewahi kutokea au la ,ndo mana nika toa mda husika(although si that significant) lakini ni katika kuonyesha kwamba tatizo limetokea leo na kwamba ni kwa mara ya kwanza nime li experience
 
Tumia on screen keyboard kama mouse/touchpad inafanya kazi. Ipo pembeni hapo icon imekaa yenyewe kama saa ya round hivi

images
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom