Tatizo lipo hivi nilijaribu kutumia codes hizi kwenye line zangu za tgo na voda madhara yake ni kwamba sipokei sms kabisa ila naweza mtumia mtu... nia masaa kumi toka nibonyeze hizi codes nimejaribu kuingia kwnye sms setting lakini wapi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.