Kifua na mgongo vinakuwa kama vimetiwa pili pili niliwah kucheck H paylol kipimo kilikuw positive nikapewa heligo kit box mbil na lecer gelly dose zimeisha lakin sina uhafadhali na nina mawazo ya mda mrefu yasiyokoma saiz na mishipa ya shingo inauma na kichwan pia kama kunachemk nikibonyeza bonyeza kwa kutumia vidole munauma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app