kitonger
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 1,149
- 1,511
Habarini wakuu,saa 3 usiku wa leo nlihamisha 8500 kutoka airtel kwenda sportpesa, bahati mbaya nimekosea codes pesa ikaenda pasipojulikana. Nawezaje kuirudisha pesa yangu? Msaada wakubwa zangu..
Hii hapo chini ndo text iliyokuja immediately nlivyofanya muamala.
Hii hapo chini ndo text iliyokuja immediately nlivyofanya muamala.