jestina Raphaeli
New Member
- Apr 20, 2020
- 2
- 0
Samahan,ndugu zangu !kuna unene wa asili? Kwamba hata utumia njia zote haiwezekani pungua*
Samahan,ndugu zangu !kuna unene wa asili? Kwamba hata utumia njia zote haiwezekani pungua*
Asante mkuuNenda Hospital Kwa Wajuzi Vinginevyo Ukifika Miaka 30
Utakuwa Unatembea Na Kiti Cha Kukalia Unapochoka
Muda Huu Ndiyo Ufanye Udhibiti
Ntarudia tena mkuuNina wasi wasi umetumia mzani ambao hauko calibrated.