Naomba msaada jinsi ya Kupanga division na point kwa kutumia excel

Mimi sijaelewa kitu kimoja hapo
je itaconsider penalt kwa mtu aliyefail maths na gs?
Na kingine kwa mtu mwenye zaidi ya masomo 7 itawezaje kuchagua masomo 7 aliyefaulu vizuri ili kupata points na division?
Natanguliza shukrani zangu mkuu
msaada tafadhali Nyasiro
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom