Hapo mkuu uluipo anza na formula ya If(and(...then kuanzia logic zinazofuata hazikuhitaji matu,izi mengine ya If..mfano nikama hapa kwenye formula yako;=if(and(A1>=0,A1<=20),"F",if(a nd(A1>=21,A1<=40),"C",if(and(A 1>=41,A1<=60),"B","A"))),
ilitakiwa kuwa kwamfumo huu..If(and(logic 1),(logic2).......))....Mtazamo wangu huo mwanajamvi
Mkuu, unachoongea na nilichoandika vinafanana. Nitatengeneza mfano kwa kutumia formula hii na ya Mwl. RCT ili kuthibitisha ninachokiongea.