Digital base
Senior Member
- Jul 19, 2020
- 126
- 189
Habari ya leo wakuu, samahani
Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu
Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k
Napenda nitumie laptop kufanya kazi hiyo kutokana na mazingira yangu kibiashara kuwa ya kusafiri mara nyingi
Naomba msaada kwa anaye jua vitu gani vya kuzingatia zaidi nikitaka kujua Laptop yenye uwezo wa kufanya kazi hizo bila usumbufu
Bajeti yangu ni chini ya 500,000 nahitaji kwenda dukani kununua pia naomba kujua warrant kawaida ni muda gani?
Samahani kwa usumbufu nimeamua kuja hapa kwakuwa sijui chochote kuhusu uwezo wa laptop naogopa kununua kopo
Maana nnayo moja nilinunua kwa watu wa mnada niliambiwa haina adapter niende kununua nikipata nijaribu na iko vizuri kwa mujibu wa maneno yao
Lakini mpaka leo sijapata adapter yake na nilipeleka kwa fundi akaniambia imekufa mother board pia tulijaribisha kwa kutumia adapter yenye kama ile japo si yake fundi akaniambia inarudisha moto na alipoichunguza zaidi
Ilikuwa haina betri na imetolewa vitu vingi sana kwahiyo hapa nimenunua kopo tu
Naomba msaada wenu maelekezo kidogo kwa aliye na utaalam na hizi machine
Maana nilitaka kununua kwa mtu tena naogopa kuongeza hasara zaidi pesa ikapotea tena
Asante sana kwa muda wako
Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu
Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k
Napenda nitumie laptop kufanya kazi hiyo kutokana na mazingira yangu kibiashara kuwa ya kusafiri mara nyingi
Naomba msaada kwa anaye jua vitu gani vya kuzingatia zaidi nikitaka kujua Laptop yenye uwezo wa kufanya kazi hizo bila usumbufu
Bajeti yangu ni chini ya 500,000 nahitaji kwenda dukani kununua pia naomba kujua warrant kawaida ni muda gani?
Samahani kwa usumbufu nimeamua kuja hapa kwakuwa sijui chochote kuhusu uwezo wa laptop naogopa kununua kopo
Maana nnayo moja nilinunua kwa watu wa mnada niliambiwa haina adapter niende kununua nikipata nijaribu na iko vizuri kwa mujibu wa maneno yao
Lakini mpaka leo sijapata adapter yake na nilipeleka kwa fundi akaniambia imekufa mother board pia tulijaribisha kwa kutumia adapter yenye kama ile japo si yake fundi akaniambia inarudisha moto na alipoichunguza zaidi
Ilikuwa haina betri na imetolewa vitu vingi sana kwahiyo hapa nimenunua kopo tu
Naomba msaada wenu maelekezo kidogo kwa aliye na utaalam na hizi machine
Maana nilitaka kununua kwa mtu tena naogopa kuongeza hasara zaidi pesa ikapotea tena
Asante sana kwa muda wako