sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Wana jamii najua ninyi ni watu wema mnaweza kunipa mchango wa mawazo...nina kawaida ya kupokea telegraphic transfers kutoka nchi za ulaya kuingia kwenye account yangu...toka alhamisi iliyopita tayari naona kuna pesa kiasi cha dola 3000 zimeingia...lakini hadi leo jumapili siwezi ku withdraw available balance inaonyesha sh 5000 wakati actual balance milioni nne na ushee? Je nifanyeje au nisubiri mpaka lini? Leo jumapili branch yangu hawajafungua