Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Watz tunachukulia sana Siasa na kuweka mioyoni mwetu kana kwamba siasa ndo msingi wa maendeleo yetu, au siasa ndo 100% inatufanya masikini...je, kwani msingi wa maendeleo si ni kazi? Chris Lukosi kutokana na posts zake au kukosana na viongozi wa CHADEMA au kujiondoa yeye CDM si ni maamuzi yake jamani? Je, wewe au mimi tunaichukia sana CCM lkn simchukii kila mtu atakae jitoa CDM...Watz waga hatuheshimu maamuzi ya Mtu binafsi..Swali la kichokozi..Je, Chris Lukosi kwa nini anarushiwa sana makombola hasa humu JF? kwa ajili ya maamuzi yake kujitoa CDM au nini hasa? mie binafsi siipendi siasa na kuchukiana ila siasa za hoja, ziogombane hoja sio mimi na wewe....Tusameheane by Chris Lukosi na heri ya mwaka mpya 2014...
Last edited by a moderator: