OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Jamani naomba mnisaidie namna ya kuepusha kumpa mimba msichana,nahitaji kujua may be formula ya kuweza kutumia ili kukwepa ukiwa unakula nyama kwa nyama(namaanisha without using condom).
Si unajua sometimes condom ina madhara,mi sitaki kutumia condom hata kidogo,nihabarisheni namna ya kutokumimba msichana,nipo gizani jamani.
Si unajua sometimes condom ina madhara,mi sitaki kutumia condom hata kidogo,nihabarisheni namna ya kutokumimba msichana,nipo gizani jamani.