WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
Wanajukwaaaa,naombeni msaada wenu jamani.
Maana huu ndio ukweli wenyewe kuwa natafuta kijiji au mtaa wenye wanachadema pekee wasio na chembe ya roho ya usaliti,wasio rubunika na c.c.m,
na wenye weledi wa nini msingi wa harakati hizi za ukombozi wa pili kwaajili ya kupigania haki za wanyonge wa nchi hii.
Nisaidieni jamani nipo tayari kuhama hatakama kijiji hakina huduma bora za kijamii nipotayari ili niwe huru kwaajili ya ukombozi.
Nitafanya kazi kubwa zaidi ya martin luther king,n.mandela,mahandra gandh,j.k nyerere,kwame nkurumah na wengineo wengi.
Maana hiyo ndiyo njia pekee ya mimi kuwakomboa wanyonge hawa wanaonyonywa na huu mfumo fisadi wa kic.c.em.
Nasema nimechoka,sitaki na sipotayari kufumbia macho maovu yaliyofanywa na
'epa,richmond,meremeta,green dip,kagoda,dowans&symbion,rada,mabilioni ya jeikei,tra&ewvura,screow account,jairo's scandel,madawa ya kulevya,nyara za serikyali na mwisho sitakiisikia syeriakyali butu na mbovu iliyopoteza uhalali wa kuongozaa raia wake.
Nisaidieni jamani!
Maana huu ndio ukweli wenyewe kuwa natafuta kijiji au mtaa wenye wanachadema pekee wasio na chembe ya roho ya usaliti,wasio rubunika na c.c.m,
na wenye weledi wa nini msingi wa harakati hizi za ukombozi wa pili kwaajili ya kupigania haki za wanyonge wa nchi hii.
Nisaidieni jamani nipo tayari kuhama hatakama kijiji hakina huduma bora za kijamii nipotayari ili niwe huru kwaajili ya ukombozi.
Nitafanya kazi kubwa zaidi ya martin luther king,n.mandela,mahandra gandh,j.k nyerere,kwame nkurumah na wengineo wengi.
Maana hiyo ndiyo njia pekee ya mimi kuwakomboa wanyonge hawa wanaonyonywa na huu mfumo fisadi wa kic.c.em.
Nasema nimechoka,sitaki na sipotayari kufumbia macho maovu yaliyofanywa na
'epa,richmond,meremeta,green dip,kagoda,dowans&symbion,rada,mabilioni ya jeikei,tra&ewvura,screow account,jairo's scandel,madawa ya kulevya,nyara za serikyali na mwisho sitakiisikia syeriakyali butu na mbovu iliyopoteza uhalali wa kuongozaa raia wake.
Nisaidieni jamani!