elfu 16
Ndugu wanaJF naomba msaada kwa mtu yeyote anayejua wapi soko na bei ya dhahabu kwa gramu.Msaada tafadhari.
halafu dhahabu yenyewe inakuwa ina carat ngapi?Gram 1 ni sh. 60,000/= sonara kwa machinga ni 55-57 bei hii ni kwa geita na maeneo ya karibu.