Naomba mnisaidie kuhusu kozi nzuri zaidi kati ya hizi hapa

Ubavu

JF-Expert Member
Jun 19, 2012
2,791
3,236
Habari wana JF . Naombeni mnisaidie kunishauri kozi ya kusoma kati ya hizi.
1.Bachelor of science in Agriculture general
2.Bachelor of science in Agronomy
3.Bachelor of science Aquaculture
4.Bachelor of science Animal science
5.Bachelor of science in Biotechnology and Lab science
6.Bachelor of science in Applied Zoology
7.Bachelor of science Aquatic Environmental sciences
8.Bachelor of science in Fishing and Aquaculture
9.Bachelor of Science in Molecular Biology and Biotechnology
10.Bachelor of Science in Wildlife Science and Conservation
 
Habari wana JF . Naombeni mnisaidie kunishauri kozi ya kusoma kati ya hizi.
1.Bachelor of science in Agriculture general
2.Bachelor of science in Agronomy
3.Bachelor of science Aquaculture
4.Bachelor of science Animal science
5.Bachelor of science in Biotechnology and Lab science
6.Bachelor of science in Applied Zoology
7.Bachelor of science Aquatic Environmental sciences
8.Bachelor of science in Fishing and Aquaculture
9.Bachelor of Science in Molecular Biology and Biotechnology
10.Bachelor of Science in Wildlife Science and Conservation
chagua kozi kutokana na wewe unataka uwe nani. Kama hujui nenda kwenye course outlines uone au uliza kwenye chuo husika watu wanaosoma kozi hizo wanakuja kuwa wakina nani na pia angalia soko la ajira liko wapi au kama utajiajiri ujue interest zako zikoje.
 
Habari wana JF . Naombeni mnisaidie kunishauri kozi ya kusoma kati ya hizi.
1.Bachelor of science in Agriculture general
2.Bachelor of science in Agronomy
3.Bachelor of science Aquaculture
4.Bachelor of science Animal science
5.Bachelor of science in Biotechnology and Lab science
6.Bachelor of science in Applied Zoology
7.Bachelor of science Aquatic Environmental sciences
8.Bachelor of science in Fishing and Aquaculture
9.Bachelor of Science in Molecular Biology and Biotechnology
10.Bachelor of Science in Wildlife Science and Conservation


Chukua no. 10 Tanzania tuna tatizo kubwa la utunzaji wa wanyamapori. Ajira iPo Tanapa, wwf, Mashirika ya kimataifa Nk. Hata ukianzisha NGO ya mambo hayo utapata wafadhili KWA urahisi sana.
 
Back
Top Bottom