Frankiebonie
New Member
- Sep 9, 2020
- 3
- 1
Habari zenu wana JamiiForums,
Kama mnavyojua utapeli umekuwa mwingi zama hizi. Nilikuwa naomba kwa yoyote anaweza nisaidia ni kwa namna gani naweza itambua Asasi Isiyo ya Kiserikali (NGO) iliyo sajiliwa na kutambulika na Serikali.
Na pia nawezaje kuitambua NGO fake? Yaani Isiyo tambulika na Serikali.
Kama mnavyojua utapeli umekuwa mwingi zama hizi. Nilikuwa naomba kwa yoyote anaweza nisaidia ni kwa namna gani naweza itambua Asasi Isiyo ya Kiserikali (NGO) iliyo sajiliwa na kutambulika na Serikali.
Na pia nawezaje kuitambua NGO fake? Yaani Isiyo tambulika na Serikali.