Naomba mnipokee jukwaani

una umri gani? umetokea sehemu gani ya nchi? unapenda nini haswa? je wewe ni mwenye hasira? kabla sijakukaribisha lazima nikutusi kikwetu " Welcome sir and feel at home" ukilia basi hustahili kuwa hapa. rudi zako taratibu lakini kama utafurahishwa na hayo matusi basi karibu mpendwa
 
Unakaribishwa, tunaamini michango yako itakuwa well organized
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom