Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 140
- 130
Mimi nimkulima wa kawaida nataka nianze kutumia mbolea za madukani lakini kabla sijaanza kutumia nimeona si vyema kuacha kuwashrikisha wana jf maana humu kuna watalamu na wazoefu wa masuala ya kilimo
Nimekuwa nikisikia kuwa eti mbolea za kisasa zina ua aridhi je nikweli?
Maana shamba langu linaukubwa wa hekari moja nikilima mahindi linatoa magunia mawili kwakuwa halina rutuba
Nikitumia mbolea najua kipato kitaongezeka sasa swali lina kuja je nikija kuacha kutumia mbolea mavuno yataporomoka kwa kasi kwakuwa ardhi imekufa
Nahisi hata gunia mbili nisizipate
Naomba ushauri kutoka kwenu mulio wahi kutumia hizo mbolea na mumeona matokeo gani kuhusu ardhi nikweli inakufa au ni imani potofu tu
Nimekuwa nikisikia kuwa eti mbolea za kisasa zina ua aridhi je nikweli?
Maana shamba langu linaukubwa wa hekari moja nikilima mahindi linatoa magunia mawili kwakuwa halina rutuba
Nikitumia mbolea najua kipato kitaongezeka sasa swali lina kuja je nikija kuacha kutumia mbolea mavuno yataporomoka kwa kasi kwakuwa ardhi imekufa
Nahisi hata gunia mbili nisizipate
Naomba ushauri kutoka kwenu mulio wahi kutumia hizo mbolea na mumeona matokeo gani kuhusu ardhi nikweli inakufa au ni imani potofu tu