Naomba mnikumbushe

duh ilikua kari balaa nakumbuka ilikua j2 mida y saa moja hv kabla taarifa ya habar kuna scene moja nakumbuka mama mjamzito kashikiria uskan wa ndege baada y ruban kufa hewan daah wakenya walituotea pale hku kwetu tunapgana mabusu tu mwanzo mwisho

all in all jina silikumbuki but ni ilikua tamthilia nzur sana wakat ule
 
duh ilikua kari balaa nakumbuka ilikua j2 mida y saa moja hv kabla taarifa ya habar kuna scene moja nakumbuka mama mjamzito kashikiria uskan wa ndege baada y ruban kufa hewan daah wakenya walituotea pale hku kwetu tunapgana mabusu tu mwanzo mwisho

all in all jina silikumbuki but ni ilikua tamthilia nzur sana wakat ule
yaani ni nzuri sana watanzania sijui tunajua nn kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom