MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 276
- 376
Habar za jion wanajamvi,
Leo imeniuma sana Mara baada ya kuwa nje ya nchi, na kukutana na mwenyej wangu, ktk story za hapa na pale akatokea kuniuliza swali ambalo limeniumiza mnoo
Kama kichwa cha habar hapo juu kinavyojieleza, mwenyej huyu ilifika mahala akasema nyinyi watanzania, kwel mungu akuwanyima vyote akawapa Mali 90% na ujinga 10%
Any way , wenyeji Wa mkoa Wa mtwara na wajuzi Wa mambo naomba mnijuze juu ya faida za gesi yetu ya mtwara faida zake.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo imeniuma sana Mara baada ya kuwa nje ya nchi, na kukutana na mwenyej wangu, ktk story za hapa na pale akatokea kuniuliza swali ambalo limeniumiza mnoo
Kama kichwa cha habar hapo juu kinavyojieleza, mwenyej huyu ilifika mahala akasema nyinyi watanzania, kwel mungu akuwanyima vyote akawapa Mali 90% na ujinga 10%
Any way , wenyeji Wa mkoa Wa mtwara na wajuzi Wa mambo naomba mnijuze juu ya faida za gesi yetu ya mtwara faida zake.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app