Jaribu kugoogle utapata taarifa nyingi tu kama ugonjwa huo upo
Mwenye kuhujua huo ugonjwa amsaidie mkuu, sawa amejaribu ku-google lakini kakwama kalugha ka Malkia ni kagumu kidogo
Nime google nikaona kwamba,huu ni ugonjwa ambao unasababisha sehemu za mwili kama vile pua,vidole,macho zinakuwa hazipati damu ya kutosha sabubu vi mishipa vidogo ambavyo vinapitisha damu katika sehemu hizo vinakuwa vimesinyaa,mtu anakuwa anaskia ganzi sehemu hizo.na katika saa moja inaweza ikamtokea mtu kwa mara moja,husababisha na kuishi sehemu yenye baridi,au mshituko(stress)wakati mwingine,dalili ni kwamba sehemu hizo tajwa zinakuwa na rangi nyekundu.na wakati mwingine zinakuwa na rangi ya blue.muone daktari kama una dalili hizo.(mimi nimesaidia kutafsiri tu,i hold BA.ED)thank you.