affimation
Member
- Jan 25, 2019
- 48
- 104
Ok
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tv siuzi, ni nahitaji mkopo.. TV ni TCL inch 43Smart tv aina gani?niuzie tuu smart tv ubaki na fridge lako
Hela kama hizo zinaatikana Mpawa, kule airtel wana Timiza loan na hata tigo sasa, ni laini yako tu na ukongwe wa kutumia Airtel, voda na tigo basi....humu njoo kuomba ushauri namna ya kutumia helaWakuu naombeni mkopo wa 200,000 dhamana ipo. mwenye uwezo au kujua ninapoweza kupata naomba anijuze, dhamana ni smart tv inch 43 na frij
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado shida haijakubana Mkuu.....kimfaacho mtu chake.
kwani mkuu shida lazima uuze ulicho nachoBado shida haijakubana Mkuu.....kimfaacho mtu chake.
Si lazima kuuza, ila kukopa ni gharama zaidi
Kuuza kitu cha 800k kwa shida ya 200k ni ujingaSi lazima kuuza, ila kukopa ni gharama zaidi
mkuu hizi hazitoi 200kHela kama hizo zinaatikana Mpawa, kule airtel wana Timiza loan na hata tigo sasa, ni laini yako tu na ukongwe wa kutumia Airtel, voda na tigo basi....humu njoo kuomba ushauri namna ya kutumia hela
Unapatikana wapi??Wakuu naombeni mkopo wa 200,000 dhamana ipo. mwenye uwezo au kujua ninapoweza kupata naomba anijuze, dhamana ni TCL smart tv inch 43 na frij, nipo dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app