Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
Wakuu msichoke kuwajibika katika kujadili masuala sensitive kwa taifa letu,mimi kama mwananchi wa kawaida naomba tupatiwe nafasi ya kujadiliana juu ya hiki chama ambacho wengi wameingizwa bila ridha zao lakini pia wengine wamejiunga bila kujua terms na manufaa ya CWT,
Jambo lingine ni kujadili namna viongozi wa kitaifa wanavyopatikana mfano raisi,katika utafiti wangu kwa mikoa minne nimegundua wanachama wengi wanachukizwa na uendeshaji wake,wengine wameenda mbali kwa kuhisi hiki chama kinatumiwa na chama fulani lakini pia kimekua na matamko mengi yasiyotekelezwa.
Naomba wanachama wote nchini waungane katika hili.
Jambo lingine ni kujadili namna viongozi wa kitaifa wanavyopatikana mfano raisi,katika utafiti wangu kwa mikoa minne nimegundua wanachama wengi wanachukizwa na uendeshaji wake,wengine wameenda mbali kwa kuhisi hiki chama kinatumiwa na chama fulani lakini pia kimekua na matamko mengi yasiyotekelezwa.
Naomba wanachama wote nchini waungane katika hili.