kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,298
- 7,646
Wataalam Nawasalimu,
Nisiwachoshe niende straight to the point.Nahitaji kufungua kampuni ndogo,Ya kufanya usafi maofisini,Nitakuwa na ofisi ambayo itakuwa na wafanya kazi wa ofisini maybe wawili au watatu na wafanya usafi wenyewe,Nahitajika kuwa na nini ili niwe na kampuni kabla sijaajiri watu?Malipo ya leseni,jina la kampuni na kadhalika.Nashukuru kwa majibu mazuri mtakayonipa.
Nisiwachoshe niende straight to the point.Nahitaji kufungua kampuni ndogo,Ya kufanya usafi maofisini,Nitakuwa na ofisi ambayo itakuwa na wafanya kazi wa ofisini maybe wawili au watatu na wafanya usafi wenyewe,Nahitajika kuwa na nini ili niwe na kampuni kabla sijaajiri watu?Malipo ya leseni,jina la kampuni na kadhalika.Nashukuru kwa majibu mazuri mtakayonipa.