Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui chochote mkuuMkuu nataka maelezo zaidi kuhusu hii Ishu ebu shusha Nondo Hapa
Msiwavunje mioyo wenzenu mimi nachukia kwa nini tusikae kimya tuwasubili wenye mawazo ya kuwapa ushauri wenye nguvu na sioHuwezi hiyo biashara
Ungeuliza kwanini unaanza kujibu hovyo.Ww unae weza mbona hufanyi. Lala mbele huko
Kuna mijitu kazi zao kukatisha tamaa wenzao achana nae huyo MkuuWw unae weza mbona hufanyi. Lala mbele huko
Sijamkatisha tamaa, simjui hanijui, nimkatishe vipi tamaa. Kila la heri kwakeKuna mijitu kazi zao kukatisha tamaa wenzao achana nae huyo Mkuu
Mkuu kila la heri, ukishindwa njoo kwenye dhahabu tufanye kaziNisha achana nae mkuu, anashindwa kusema kwann siwez kazi lawama tu
Malighafi ni mambazi yanayotokana baada ya kuchana mbao.au mianzi .kiwanda bila jengo ni Tzs 80.000.000.kama unataka technical proposal na bei na idadi ya mashine nnazo ni PMHabari zenu wadau wa JF.!
Naam wadau wa JF naombeni mwenye uelewa wa hichi kiwanda ashushe Nondo Hapa kwa faida yetu sote. Maana nasikia hiz Toothpicks bado zinatoka China Aisee kama ni kweli inatia huruma.
Napenda kujua Gharama zake mpaka kinakamilika kiwanda katika Mazingira mazuri na rafiki kwa kazi. Gharama za mashine yenyewe vpi nitapata Malighafi zake na soko lake kiujumla.
Naombeni yeyote mwenye ufahamu na hichi kiwanda anipange vizuri. Hapa JF tupo watu wengi na wenye mawazo Tofauti tofauti, naimani nitapata mawazo mazuri.
Asanteni karibuni katika Hoja.
Kwa Tanzania Bamboo ni shida kuzipata za kutosheleza production.labda awe na shamba lake mwenyewe.Malighafi ambayo ipo ya kutosha ni mabanzi ya mbaoHakikisha unatengeneza toothpicks za bamboo trees ndo utapambana na ushindani wa mchina