Naomba mbinu za kuishi na mume bahili

Habari za mchana wanajamii,

Naombeni mbinu za kuishi na mume bahili/mchoyo.

Mwanaume ni mchoyo jamani, vitu viikisha ndani atajikausha utafikiri sio yeye ndo baba wafamilia. Umeme unakatika atauchuna na mtalala gizani, asubuhi ataondoka bila kuacha hata mia sijui anawaza mtakula nini, kwakuwa nina mtoto mdogo na wadada wa kazi inabidi niwaachachie pesa za matumizi, gari akiriharibu hatengenezi ng'o na litaendeshwa hivyo hivyo mpaka utakavyoamua kulipeleka gereji mwenyewe.

Nimechoka jamani basi ikokea katoa hela utakuta kaweka 100,000 kabatini na hakwambii kama ni pesa ya matumizi.

Akishatoa hiyo atajikausha hata miezi minne inaweza pita bila kutoa kitu na bado ataendelea kukuomba hela,mara naomba hela nikaweke mafuta kwenye gari, mara naomba hela ya sadaka ili mradi ile aliotoa mpaka iishe.

Basi nikafungua biashara sehemu, akaidakia yeye akaanza kuisimamia, sijawahi ona hata mia kutoka kwenye ile biashara, kodi ya pango ikaisha, hela hata mia, ikabidi nilipie tena kodi, bado sioni kitu yaani kama hakuna biashara inaendelea,ukimuuliza anakuwa mkali

Basi nimeamua kutolipa tena kodi ya pango ikiisha, na TRA Silipi. Nimemsema sana lakini naona habadiliki.

Nimfanyeje mwanaume wa hivi khaaaa
Ndo utamu wa marioo wote, tena wa kwako ana afadhali hata kusimamia hiyo biashara japo huoni hata kumi, by the way mzigo wako huo komaa nao ikishindikana temana nae:rolleyes:. Cha mwisho kwa huyu kijianaume acha ufala unamuumiza mtoto wa watu ukue basi cha umarioo:confused:
 
Habari za mchana wanajamii,

Naombeni mbinu za kuishi na mume bahili/mchoyo.

Mwanaume ni mchoyo jamani, vitu viikisha ndani atajikausha utafikiri sio yeye ndo baba wafamilia. Umeme unakatika atauchuna na mtalala gizani, asubuhi ataondoka bila kuacha hata mia sijui anawaza mtakula nini, kwakuwa nina mtoto mdogo na wadada wa kazi inabidi niwaachachie pesa za matumizi, gari akiriharibu hatengenezi ng'o na litaendeshwa hivyo hivyo mpaka utakavyoamua kulipeleka gereji mwenyewe.

Nimechoka jamani basi ikokea katoa hela utakuta kaweka 100,000 kabatini na hakwambii kama ni pesa ya matumizi.

Akishatoa hiyo atajikausha hata miezi minne inaweza pita bila kutoa kitu na bado ataendelea kukuomba hela,mara naomba hela nikaweke mafuta kwenye gari, mara naomba hela ya sadaka ili mradi ile aliotoa mpaka iishe.

Basi nikafungua biashara sehemu, akaidakia yeye akaanza kuisimamia, sijawahi ona hata mia kutoka kwenye ile biashara, kodi ya pango ikaisha, hela hata mia, ikabidi nilipie tena kodi, bado sioni kitu yaani kama hakuna biashara inaendelea,ukimuuliza anakuwa mkali

Basi nimeamua kutolipa tena kodi ya pango ikiisha, na TRA Silipi. Nimemsema sana lakini naona habadiliki.

Nimfanyeje mwanaume wa hivi khaaaa
hamia kwangu fasta. "Jiwe hata ulichemshe vp halitoi supu"
 
Habari za mchana wanajamii,

Naombeni mbinu za kuishi na mume bahili/mchoyo.

Mwanaume ni mchoyo jamani, vitu viikisha ndani atajikausha utafikiri sio yeye ndo baba wafamilia. Umeme unakatika atauchuna na mtalala gizani, asubuhi ataondoka bila kuacha hata mia sijui anawaza mtakula nini, kwakuwa nina mtoto mdogo na wadada wa kazi inabidi niwaachachie pesa za matumizi, gari akiriharibu hatengenezi ng'o na litaendeshwa hivyo hivyo mpaka utakavyoamua kulipeleka gereji mwenyewe.

Nimechoka jamani basi ikokea katoa hela utakuta kaweka 100,000 kabatini na hakwambii kama ni pesa ya matumizi.

Akishatoa hiyo atajikausha hata miezi minne inaweza pita bila kutoa kitu na bado ataendelea kukuomba hela,mara naomba hela nikaweke mafuta kwenye gari, mara naomba hela ya sadaka ili mradi ile aliotoa mpaka iishe.

Basi nikafungua biashara sehemu, akaidakia yeye akaanza kuisimamia, sijawahi ona hata mia kutoka kwenye ile biashara, kodi ya pango ikaisha, hela hata mia, ikabidi nilipie tena kodi, bado sioni kitu yaani kama hakuna biashara inaendelea,ukimuuliza anakuwa mkali

Basi nimeamua kutolipa tena kodi ya pango ikiisha, na TRA Silipi. Nimemsema sana lakini naona habadiliki.

Nimfanyeje mwanaume wa hivi khaaaa
Mna wa watoto wangapi?
 
That's y nimemuuliza alikubalije kuolewa na marioo aka bahili
Afu wanawake wengi wanatunza nyumba wanapretend tu mitandaoni,kuficha aibu
Ila wengi ni married but single
Hii kasumba ya kutafuta heshima ya kipuuz kwenye jamii ilhal ndani walia na wanao imeponza wanawake wengi
Anyway halooooo hahahahah
Umechangamka, hahhhahhhahhaa.
 
Habari za mchana wanajamii,

Naombeni mbinu za kuishi na mume bahili/mchoyo.

Mwanaume ni mchoyo jamani, vitu viikisha ndani atajikausha utafikiri sio yeye ndo baba wafamilia. Umeme unakatika atauchuna na mtalala gizani, asubuhi ataondoka bila kuacha hata mia sijui anawaza mtakula nini, kwakuwa nina mtoto mdogo na wadada wa kazi inabidi niwaachachie pesa za matumizi, gari akiriharibu hatengenezi ng'o na litaendeshwa hivyo hivyo mpaka utakavyoamua kulipeleka gereji mwenyewe.

Nimechoka jamani basi ikokea katoa hela utakuta kaweka 100,000 kabatini na hakwambii kama ni pesa ya matumizi.

Akishatoa hiyo atajikausha hata miezi minne inaweza pita bila kutoa kitu na bado ataendelea kukuomba hela,mara naomba hela nikaweke mafuta kwenye gari, mara naomba hela ya sadaka ili mradi ile aliotoa mpaka iishe.

Basi nikafungua biashara sehemu, akaidakia yeye akaanza kuisimamia, sijawahi ona hata mia kutoka kwenye ile biashara, kodi ya pango ikaisha, hela hata mia, ikabidi nilipie tena kodi, bado sioni kitu yaani kama hakuna biashara inaendelea,ukimuuliza anakuwa mkali

Basi nimeamua kutolipa tena kodi ya pango ikiisha, na TRA Silipi. Nimemsema sana lakini naona habadiliki.

Nimfanyeje mwanaume wa hivi khaaaa
Bila Shaka ww utakua shabiki wa arsenal
 
eeh gari ni basic need
Achana na watoto wa uswahilini.
Mtu unahitaji msaada watu wanaleta mzaha hapa.

Kwanza nikupongeze kwa kuweza kumvumilia toka alipokuwa na wakati mgumu mpaka sasa. Nadhani ifike wakati umwambie imetosha, akiondoka bila kuacha pesa za matumizi hakuna msosi. Hata ukibidi gari pia mnyang'anye. Ukiona vipi piga chini kabisa.

Au unaogopa kuitwa single mother?
 
Pesa ya Mwanaume

1. Kununia all basic needs (food, shelter and clothes) za kila mtu ndani ya Nyumba.
2. Kulipia Ada watoto kila mwaka
3. Matumizi madogo madogo ya mke.
4. Wazazi wa pande zote mbili lazima wapate
5.kulipa kodi ya nyumba.
6.kuchangia michango ya Harusi atakayoenda mke
7.Sare za harusi atazohudhuria mwanamke ni mume ataambiwa atoe pesa.
8.Matumizi madogo madogo ya nyumbani (maji,umeme)
9.Outings za hapa na pale Mume utaangaliwa
10.Sadaka kanisani/msikitini, Mwanamke asione 2000 mezani ataitaka hiyo akaitoe sadaka na yake ibakie kwenye pochi.
11. Mafuta ya kupata atasema baba fulani sina mafuta ya kupaka na pesa sina sahivi nisaidie, utaambiwa haya mkiwa mnakula au umetafutiwa pigo takatifu ukiwa zako outing/sokoni utapelekwa na utapiyishwa dukani,

Pesa ya Mwanamke
1. Kuweka bando za Mb na vocha za kupigia rafiki



Wanaume tusilalamike sanaaaa.....
 
Muache kiherehere
IMG-20190709-WA0001.jpeg
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom