Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Kwenye uchumba mtu hakuwa hata na buku? Kama alikuwa nayo alikuwa anakupa japo jero au Mia Tatu ye abaki na 700/500? Kama sio ulikosea kukubali kuolewa naekwakweli wakati wa uchumba alikuwa na hali ngumu kimaisha so alikuwa hatoi kitu, mi nikachukulia poa tu, nikahisi vile hana ndo maana hatoi, ila kwa sasa pesa anayo